Kampuni ya Tumbaku Alliance One yang’ara kwenye ufunguzi wa siku ya ushirika duniani Tabora

Naibu wa Waziri wa Kilimo David jana amefungua rasmi maadhimisho ya wiki ya ushirika duniani, ambayo kwa kawaida yanaambatana na maonesho ya shughuli za ushirika, ambapo wadau mbalimbali, ikiwemo kampuni ya tumbaku ya Alliance One wakionesha shughuli zao kwa muhimu. Kabla ya ufunguzi wa maonesho hayo yanayofanyika kwenye viwanja vya Nanenane Mkoani hapa, Mheshimiwa Silinde…

Read More

Bodi ya FCC yafanya ziara katika Kituo cha Siari Ziara yaibua umuhimu wa kuwepo maafisa ukaguzi katika vituo vya mipakani

    Na Mwandishi Wetu,Mara   Bodi na Menejimenti ya Tume ya Ushindani (FCC) imetembelea Kituo cha ukaguzi wa pamoja (OSBP) kilichopo Sirari Wilayani Tarime Mkoani Mara. Kutembelea kituo hicho ni kupata uelewa wa pamoja kuhusu shughuli za ukaguzi mipakani. Akizungumza katika ziara hiyo ya kutembelea hivi karibuni ,Mkurugenzi Mkuu wa FCC William Erio ambaye…

Read More

Rais Samia apangua mawaziri wawili, vigogo TRA na ZRA

Tanga. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali ikiwemo mawaziri na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Uteuzi huo umetangazwa usiku wa leo Jumanne, Julai 2, 2024 na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, ikimnukuu Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka. Balozi Kusiluka amesema Rais Samia amemteua Dk Seleman…

Read More

Mkesha Mkubwa wa Kuvuka Nusu Mwaka ndani ya Dodoma

Na Mwandishi Wetu MKESHA mkubwa wa kuvuka nusu mwaka Kufanyika Dodoma Juni 5 ndani ya Ukumbi wa Jakaya Conversion Center Mkesha huo unaenda kwa jina la ACROSS THE YEAR umeandaliwa na Mtumishi wa Mungu Emanuel Shemdoe chini ya huduma ya LOVE OF CHRIST na waombaji wa kila mwezi Jijini Dodoma. “Huu ni mkesha mkubwa unao…

Read More

APC WAJIPANGA KUVUTIA WAWEKEZAJI NCHINI

  UONGOZI wa Hoteli ya APC wameiomba serikali kuongeza siku na muda wa maonesho ya 48 ya biashara ya kimataifa sabasaba kwani bado watu wanauhutaji mkubwa wa huduma zao na wao kupata fursa ya kuendelea kujitangaza. Hayo yamesemwa leo na Afisa Masoko kutoka APC Hotel Conference Center – Happy Sanga katika maonesho hayo ambayo yanatarajiwa…

Read More

Rais Samia amuondoa bosi TRA

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata kuwa Mshauri wa Rais, Ikulu nafasi inayomuondoa katika nafasi yake ya awali. Kidata anaondolewa TRA ikiwa ni wiki moja ipite tangu mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima ufanyike wakilalamikia utitiri wa kodi unaotozwa na TRA. Aidha, Rais…

Read More