Mbowe ataka saa 48 kuamua hatima yake Chadema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amewaomba viongozi, wanachama na makada waliofika nyumbani kwake kuwa wampe saa 48 za kutafakari ombi lao la kumtaka kuwania nafasi hiyo. Pia, amewaeleza kuwa hataingia kwenye vita itakayokibomoa chama hicho bali ataingia kwenye vita itakayokijenga. Mbowe ameyasema hayo leo Jumatano, Desemba 18, 2024 wakati akizungumza na wanachama…

Read More

KAMATI YA BUNGE YARIDHIKA NA MAENDELEO MRADI WA MEMBE

………….. -Yamuomba Rais Kuongeza Utoaji wa Fedha Miradi ya Umwagiliaji Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge, Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, imeridhishwa na maendeleo ya utekelezaji mradi wa Bwawa la Umwagiliaji Membe. Bwawa hilo ambalo linajengwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), ujenzi wake umefikia asilimia 92 ya utekelezaji.  Wakizungumza leo Jumamosi Aprili 26,…

Read More

Usijaribu kuoa kisa huruma kwa mwanamke

Dar es Salaam. Ukisoma kozi za utengenezaji wa filamu, moja ya misemo ambayo utaisikia mara kwa mara ni ‘prodyuza’ na ‘dairekta’. Hii  ni kama mke na mume, uhusiano wao ni kama  wa kindoa kabisa. ‘Dairekta’ au kwa kiswahili tunaita muongozaji ni mtu mwenye jukumu la usamimizi mkuu wa nyanja zote za kisanii kwenye filamu. Yeye…

Read More

Zaidi ya wanafunzi 200 wajengewa uwezo kwa vitendo

Jitihada Za Serikali ya awamu ya Sita ni kuhakikisha sekta ya elimu inaboreshwa na kutolewa kwa nadharia na Vitendo zaidi ili kuwarahisishia Wahitimu kuweza kujiajiri pindi wakimaliza masomo yao. Zaidi ya Wanafunzi 200 wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kutokea Ndaki ya usanifu Majengo na Teknolojia ya Majenzi (coACT) wamefanya mafunzo ya Usanifu…

Read More

MABINTI WA VYUO VIKUU WAMPA RAIS SAMIA MITANO TENA

Kongamano kubwa la ‘Binti wa Leo, Samia wa Kesho’ linatarajiwa kufanyika Jumamosi Machi 08, 2025, katika ukumbi wa Bwalo la Jeshi, Kona ya Nyegezi jijini Mwanza, likilenga kuhamasisha mabinti wa vyuo na vyuo vikuu kutimiza malengo yao kwa kutumia mifano ya mafanikio ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kongamano hili ni sehemu ya maadhimisho ya…

Read More

Lissu atangaza rasmi kumvaa Mbowe uenyekiti Chadema

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara, Tundu Lissu amesema haikuwa rahisi kwake kufikia uamuzi wa kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho. Amesema tangu mwaka 2015 kulikuwa na vishawishi vya kumtaka awanie nafasi hiyo na hakuwa tayari na sasa amejipima ameona anafaa kuwania nafasi hiyo inayoongozwa na Freeman Mbowe…

Read More

Gomez kuliamsha Chamazi | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Fountain Gate, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ huenda akauwahi mchezo wa keshokutwa Jumanne kati ya timu hiyo na Azam FC kwenye Uwanja wa Azam Complex, uliopo Chamazi Dar es Salaam, baada ya kukosekana michezo miwili mfululizo iliyopita kutokana na kusumbuliwa na majeraha. Nyota huyo mwenye mabao sita ya Ligi Kuu ameng’olewa kilele cha wafungaji na…

Read More