Mwalimu ataja vigezo wananchi vya kumpima achaguliwe kuwaongoza

Hai. Mtiania wa urais wa Tanzania kwa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amesema uongozi haupimwi kwa umri bali kwa uwezo wa akili na hofu ya Mungu..Mwalimu ameyasema hayo aliposimama kusalimia wananchi wa mji wa Bomang’ombe waliojitokeza barabarani kumlaki akiwa njiani kuelekea Moshi kutoka Arusha. “Msiniangalie kwa umri wangu, nipimeni kwa uwezo wangu…

Read More

Mgambo waiangukia Serikali ajira za kudumu

Morogoro. Wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Akiba (mgambo) katika Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wameiomba Serikali kuwaangalia kwa jicho la huruma kwa kuwapatia ajira ndani na nje ya wilaya hiyo ili kujikimu kimaisha na kusaidia kuimarisha ulinzi na usalama. Wahitimu hao wametoa ombi hilo leo kwenye hafla ya kufunga mafunzo hayo ya…

Read More

Aliyekuwa DED Kigoma jela miaka 20

Arusha/Kigoma. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma imewahukumu adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela, aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Athuman Msabila na aliyekuwa mhazini wa halmashauri hiyo, Frank Nguvumali baada ya kuwatia hatiani kwa makosa ya kughushi nyaraka na utakatishaji wa fedha. Msabila na washtakiwa wengine 10, wakiwamo maofisa kutoka idara ya fedha…

Read More

Morocco: Haikuwa rahisi, lakini tulipambana!

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman, amesema udhaifu katika kutumia vizuri nafasi walizotengeneza ndiyo sababu ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Morocco. Hata hivyo, kocha huyo anajivunia namna wachezaji walivyopambana hadi kufikia hatua ya robo fainali ikiwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kufanya hivyo kwenye michuano inayosimamiwa…

Read More

Gwalala kutimkia Mbeya City | Mwanaspoti

KIUNGO wa zamani wa Coastal Union, Greyson Gwalala yupo katika hatua ya mwisho kumalizana na Mbeya City iliyopanda daraja kushiriki Ligi Kuu Bara msimu ujao 2025-2026. Gwalala anaungana na Ame Ally aliyetua Mbeya City akitokea Mashujaa, Yahya Mbegu (Singida Black Stars), Habib Kyombo aliyekuwa akiitumikia Pamba Jiji kwa mkopo akitokea Singida Black Stars kama ilivyokuwa…

Read More

Beki Mtanzania anukia Kenya | Mwanaspoti

Nyota huyo ambaye ni zao la timu ya vijana ya Dodoma Jiji chini ya miaka 20, ameondoka ndani ya kikosi hicho baada ya mkataba wake kuisha, huku ikidaiwa aliomba kutoongeza mwingine kwa lengo la kutafuta changamoto sehemu nyingine mpya. Nyota huyo ambaye ni zao la timu ya vijana ya Dodoma Jiji chini ya miaka 20,…

Read More

Yanga yacheza dakika 120, ikimpiga mtu 2-1

YANGA imecheza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate ikishinda kwa mabao 2-1. Mchezo huo umepigwa leo katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam katika kupima pumzi ya wachezaji na katika hilo kocha wa Yanga, Romain Folz akawataka Fountain Gate kucheza kwa dakika 120. Akili ya Folz ni kutaka kupima vifua…

Read More

Mbio za Kasi za Playson, Fursa Yako ya Kuibuka Bingwa

MERIDIANBET kwa mara nyingine tena imeleta msisimko mpya kwenye ulimwengu wa kasino mtandaoni kupitia Playson Short Races, mashindano ya kasi yanayowapa nafasi wachezaji wote kujishindia mamilioni ya pesa taslimu kila siku. Kila usiku kuanzia saa 4:00 usiku hadi saa 8:50 usiku, kila mzunguko unaocheza kwenye sloti za Playson ni tiketi yako ya kupanda kwenye leaderboard…

Read More