
Mwalimu ataja vigezo wananchi vya kumpima achaguliwe kuwaongoza
Hai. Mtiania wa urais wa Tanzania kwa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amesema uongozi haupimwi kwa umri bali kwa uwezo wa akili na hofu ya Mungu..Mwalimu ameyasema hayo aliposimama kusalimia wananchi wa mji wa Bomang’ombe waliojitokeza barabarani kumlaki akiwa njiani kuelekea Moshi kutoka Arusha. “Msiniangalie kwa umri wangu, nipimeni kwa uwezo wangu…