Jinsi mshtakiwa anayedaiwa kumuua mkewe alivyotoa ushirikiano

Dar es Salaam. Shahidi wa 13, Ditektivu Sagenti Samweli, akiongozwa na mwendesha mashitaka, Wakili wa Serikali Mkuu, Yasinta Peter, ameieleza Mahakama kuwa, mwaka 2019 wakati wa tukio hilo, alikuwa akifanya kazi Kituo cha Polisi Kigamboni, akiwa na cheo cha Ditektivu Koplo (DCPL). Mashahidi hao waliokuwa kwenye timu ya upelelezi wa kesi hiyo wametoa simulizi hiyo…

Read More

Gamondi atupa karata ya kwanza Taifa Stars

TAIFA Stars iliyo chini ya Kocha Miguel Gamondi leo Jumamosi itashuka uwanjani kwa mara ya kwanza kuvaana na Kuwait katika mechi ya kimataifa ya kirafiki itakayopigwa jijini Cairo, Misri. Kuwait inayokutana kwa mara ya kwanza na Taifa Stars, inashika nafasi ya 135  katika nafasi za viwango vya soka duniani vilivyotolewa na FIFA Oktoba 17, 2025…

Read More

Simulizi ya Dar City ikiishia njiani BAL

BAADA ya Johannesburg Giants ya Afrika Kusini kuiondoa Dar City City katika nusu fainali ya mashindano ya kikapu Road to BAL Elite 16, kocha wa timu hiyo, Florsheim Ngwenya amesema walicheza na timu nzuri iliyokuwa na wachezaji wenye  viwango bora Afrika. Pamoja na ushindi wao huo, amesema watu wengi hawakuipa nafasi timu yake kushinda akisema…

Read More

Watia nia, wajumbe CCM waonywa

Mwanza. Baada ya kukamilika kwa mchakato wa uchukuaji fomu za kuomba ridhaa ya kugombea nafasi mbalimbali ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, watia nia wametakiwa kuwa watulivu, huku wanachama, wakihimizwa kusubiri maelekezo ya chama. Mchakato wa kuchukua fomu ulifungwa rasmi jana Julai 2, 2025. Kuanzia Julai 4 hadi 29,…

Read More

Maadhimisho Mwezi wa Huduma kwa wateja: Benki ya NBC Yajivunia Maboresho ya Huduma Kukidhi ya Mahitaji ya Wateja.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua maadhimisho ya mwezi wa huduma wa kwa wateja huku ikijivunia mafanikio mbalimbali ikiwemo maboresho makubwa ya huduma zake yanayolenga kukidhi mahitaji ya wateja wa benki hiyo (Customer satisfaction). Hafla fupi ya uzinduzi wa maadhimisho hayo imefanyika mapema leo, Makao Makuu ya Benki hiyo jijini Dar es Salaam ikihusisha…

Read More

Vaibu lamrudisha Aussems | Mwanaspoti

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems amekiri kufurahia kurejea tena nchini, huku akiweka wazi vaibu la mashabiki hasa wanaojazana Uwanja wa Benjamin Mkapa ni moja ya sababu iliyomrejesha Tanzania na kujiunga na Singida Black Stars katika mashindano mbalimbali ya msimu ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Aussems alisema anajisikia furaha kubwa kurudi kwa mara nyingine…

Read More