THBUB UNGUJA, PEMBA KUIMARISHA USHIRIKIANO

04 MACHI, 2026 ZANZIBAR *ZASISITIZA USHIRIKIANO MAENEO YA UTAALAMU, UZOEFU NAIBU Katibu Mtendaji Tume ya Haki za binadamu na Utawala Bora (THBUB), Bw. Juma Msafiri Karibona amehimiza suala la ushirikiano katika kutekeleza majukumu ya Tume hiyo kwa ofisi za Unguja na Pemba. Bw. Karibona aliyasema hayo ofisi za Tume zilizopo Mombasa, Wilaya ya Magharibi B…

Read More

Ligi Bara yambeba kipa Mkongomani

ALIYEKUWA kipa wa Dodoma Jiji, Mkongomani Alain Ngeleka, amesema Ligi Kuu Bara imempa fursa ya kuonekana zaidi baada ya nyota huyo kukamilisha uhamisho wa kujiunga na kikosi cha Bandari ya Kenya kwa ajili ya kukitumikia msimu wa 2025-2026. Akizungumza na Mwanaspoti, Ngeleka alisema kucheza kwa muda mrefu katika Ligi Kuu Bara kumechangia kupata nafasi hiyo…

Read More

Bandari ya Dar itakavyokabili ongezeko la mizigo mwisho wa mwaka

Dar es Salaam. Kadri msimu wa kilele cha usafirishaji wa mwisho wa mwaka unavyokaribia, wadau wa bandari wanaongeza kasi ya maandalizi kushughulikia kile kinachotarajiwa kwenye msimu wenye shughuli nyingi za mizigo bandarini. Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), kwa kushirikiana na waendeshaji binafsi, imetangaza hatua kadhaa za kimkakati zinazolenga kuongeza ufanisi, kupunguza muda wa…

Read More

Athari ya kiu ya ufaulu kwa wanafunzi  na Taifa

Shinyanga. Katika jamii nyingi leo, ufaulu umegeuka kuwa lengo kuu la elimu. Kila mzazi, mwalimu na mwanafunzi anatamani kuona alama za juu, vyeti vingi na matokeo yanayovutia.  Hata hivyo, katika harakati hizo, mambo muhimu kama maadili, utu na ujuzi wa vitendo yameachwa nyuma au kupewa nafasi finyu. Takwimu na hali halisi ya kijamii vinaonyesha kuwa…

Read More