
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 28,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 28,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 28,2024 About the author
Unguja. Mwakilishi wa viti maalumu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Panya Ali Abdalla (60) amefariki dunia akipatiwa matibabu nchini India. Akizungumza hilo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera, Utaratibu na Baraza la Wawakilishi), Hamza Hassan Juma amesema Serikali kwa kushirikiana na familia, inaendelea kuratibu mipango ya mazishi na kurudisha mwili…
Na Mwandishi wetu, Mirerani KAMPUNI ya uchimbaji madini ya Tanzanite ya Chusa Mining LTD, iliyoahidi kujenga wodi mbili mpya za wanawake na watoto na ofisi ya madaktari katika kituo cha afya Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, imefika eneo la tukio na kuonyeshwa mahali pa ujenzi. Mdau wa maendeleo wa wilaya ya Simanjiro, Sporah Mwakipesile akizungumza…
Kwa kujibu maoni ya wateja, Kampuni inayoongoza kwa mahitaji ya usafiri kwa njia ya mtandao Bolt, itapanua huduma zake za kupangilia safari (pre booking) kwa wateja. Sasa wateja wote wa makampuni wanaweza kupangilia (kufanya booking kabla) safari zao hadi siku 90, ikilinganishwa na utaratibu wa awali wa masaa 72. Uamuzi huu unakuja huku Bolt ikipata…
OR-TAMISEMI Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Mhe. Oran Njeza ameiagiza Ofisi ya Rais- TAMISEMI kuhakikisha inajenga maabara za TEHAMA katika kila shule ili wanafunzi wapate ujuzi kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia duniani. Ameyasema hayo leo Mei 21,2024 kwenye kikao cha kujengewa uwezo wajumbe wa kamati hiyo kuhusu ufundishaji…
Tetemeko kubwa la ardhi limeua watu 53 leo Jumanne Januari, 7 2025 huko Tibet, China na kuwaacha wengine wengi wakiwa wamekwama chini ya vifusi. Tetemeko hili limefuatiwa na mitetemeko midogo kadhaa ambayo imetikisa maeneo ya magharibi mwa China na nchi jirani ya Nepal. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Xinhua, watu…
MAPEMA tu mwezi ujao hapa kijiweni tutakaa mbele ya runinga kumtazama Stephane Aziz Ki akikiwasha katika Kombe la Dunia la Klabu huko Marekani akiitumikia Wydad ya Morocco. Jamaa wameonyesha jeuri yao ya fedha bwana kwa kumchomoa staa na kipenzi cha Yanga ambaye tayari ameshaondoka Tanzania kwenda Morocco kuungana na miamba ya huko kwa mkataba wa…
Na MWANDISHI WETU -DAR ES SALAAM. Diwani wa Kata ya Makurumla Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, Bakari Kimwanga, amewataka wazazi na walezi kuhakikisha wanakuwa na utulivu hasa kutokana na taharuki ya utekaji watoto kwenye shule. Pamoja na hali hiyo amesema kuwa mpaka sasa ndani ya Kata ya Makurumla hakuna tukio la…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kushirikiana na kufanya kazi kwa pamoja na Taasisi binafsi kwa lengo la kuwaondoshea wananchi changamoto mbali mbali zinazowakabili. Ameyasema hayo katika maadhimisho ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu…
Watu hao wanatembea hadi gereza la Saydnaya kuwatafuta wafungwa hao. Credit: Abdul Karem al-Mohammad/IPS na Sonia Al Ali (idlib, Syria) Jumatatu, Desemba 16, 2024 Inter Press Service IDLIB, Syria, Des 16 (IPS) – Alizuiliwa bila kufunguliwa mashitaka kwa zaidi ya miaka mitatu kwa kesi kwa madai ya kuwatendea “magaidi” (kama wapinzani wa Rais wa zamani…