Mahakama Kisutu Yatoa Onyo Kali Baada ya Tundu Lissu Kutamka Kauli ya Kisiasa Mahakamani

Na Karama Kenyunko, Michuzi Tv MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa onyo kali kwa mtu yeyote kutamka neno lolote bila ruhusa rasmi ya Mahakama baada hakimu kuwa ameshaingia mahakamani. Hatua hiyo imekuja kufuatia tukio la mshtakiwa ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, kuingizwa mahakamani kisha akanyoosha mkono juu na…

Read More

CCM YATOA OMBI TAMISEMI WENYE MAKOSA MADOGO MADOGO KATIKA UJAZAJI FOMU UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAACHWE WAGOMBEE

Na Said Mwishehe, Michuzi TV CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeiomba Serikali kupitia kwa Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali (TAMISEMI) kupuuza dosari ndogondogo ambazo zimejitokeza katika ujazaji fomu kwa wagombea wa vyama vya siasa wanaoshiriki uchaguzi Serikali za mitaa nchini. Sababu za kutoa ombi hilo kwa TAMISEMI imetokana na kuwepo kwa…

Read More

JKT yafuta ukame wa misimu sita DB

Timu ya maafande wa JKT imevunja ukame wa miaka saba baada ya kuibeba ubingwa wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (DB), kwa kuifunga UDSM Outsiders katika mchezo wa nne kati ya mitano ya fainali ya ligi hiyo uliopigwa kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay. Maafande hao waliwatambia wapinzani wao kwa ushindi wa jumla…

Read More

Kagera Sugar yaivutia kasi Yanga

KAGERA Sugar imetamba kwamba haiifuati Yanga jijini Dar es Salaam kinyonge, bali imejipanga kukabiliana ipasavyo na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara katika mchezo utakaopigwa Jumamosi, wiki hii. Akizungumza na Mwanaspoti, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kagera Sugar, Thabity Kandoro alisema wamekuwa na maandalizi mazuri kwa ajili ya michezo ya mzunguko wa pili wa Ligi…

Read More

Simba ni Misri au Uturuki

MABOSI wa Simba SC kwa kushirikiana na benchi la ufundi la timu hiyo wameanza mikakati ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26, ambapo imefahamika kuwa kambi imependekezwa tena kufanyika nje ya nchi ni ama Misri au Uturuki. Uamuzi huo umetokana na mapendekezo ya benchi la ufundi likiongozwa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids ambaye inaelezwa amesisitiza…

Read More