Kada CCM aliyemwagiwa tindikali aandika barua THBUB, ajibiwa

Moshi. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Idrisa Moses maarufu Makishe, ameiandikia barua Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), akiiomba kuanza uchunguzi huru kuhusu tukio la kumwagiwa tindikali. Septemba 20, 2024 saa 2:00 usiku, watu wasiojulikana walimmwagia Makishe ambaye ni mkazi wa mjini Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro kimiminika kinachodhaniwa ni tindikali na…

Read More

Nidhamu yaibeba JKT mbele ya Yanga jeshini

NIDHAMU nzuri ya kujilinda kwa vijana wa Malale Hamsini, JKT Tanzania ni miongoni mwa mambo ambayo yaliifanya Yanga kuwa na wakati mgumu kuifungua ngome ya maafande hao katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Kwa mara ya pili msimu huu wa 2023/24, Yanga imetoka suluhu katika mchezo wa Ligi…

Read More

Hii ndiyo sababu ya Wachaga kupenda bishara, fedha

Moshi.Ni maneno ya kawaida kwa walio wengi kuwa Wachaga wanapenda biashara na hata wengine wakaenda mbali zaidi na kusema watu wa kabila hilo maarufu nchini, wanapenda pesa. Jambo hili limepata umaarufu mkubwa zaidi kutokana na watu wa kabila hilo kutapakaa maeneo mbalimbali nchini na kuanzisha biashara ambazo zimewapa umaarufu katika maeneo hayo. Hilo linadhihirishwa na…

Read More

Uzimaji Intaneti ni ukiukwaji wa haki za binadamu

WANAHARAKATI vijana nchini Tanzania wamesema kitendo cha Serikali kuzima intaneti wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020, kimekiuka mikataba ya kimataifa pamoja na Katiba ya  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Akizungumza na waandishi wa habari mwishoni mwa wiki jijini Dar ea Salaam, Mkurugenzi wa Taasisi ya Haki Binadamu na Utawala wa…

Read More

CPA MAKALA ATAKA UJENZI JENGO LA GHOROFA SITA HOSPITALI YA MBAGALA KUKAMILIKA KWA WAKATI, AKUMBUSHA MWAKANI WANA JAMBO

Na Mwandishi Wetu KATIBU wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo CPA Amoss Makala ametoa maelekezo kwa mkandarasi anayejenga jengo la ghorofa sita la Hospitali ya Mbagala mkoani Dar es Salaam kuhakikisha ifikapo Juni mwaka 2024 liwe limekamilika na kuanza kutoa huduma. CPA Makala ametoa maelekezo hayo baada ya kufanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa Hospitali…

Read More

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Aahidi Kuboresha Sekta ya Sheria kwa Kutoa Dira kwa Wanasheria Nchini

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, ametoa ahadi ya kutoa mwelekeo kwa wanasheria wote nchini ili kuhakikisha wanatoa huduma za sheria serikalini kwa ufanisi, weledi, na ubora kwa kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi, kisiasa,teknolojia,tamaduni na hata kimazingira. Ameyasema hayo hayo leo Desemba 6, 2024 Jijini Dodoma katika Kikao chake na wakurugenzi…

Read More

TFF yakunjua makucha Ligi Kuu ya Wanawake

TIMU ya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Ceasiaa Queens imelimwa faini ya Sh 2 milioni na baadhi ya maofisa na wachezaji wa timu hiyo kuadhibiwa kwa kosa la kufanya vurugu na kuvunja pambano la ligi hiyo iliyokuwa imeshinda kwa mabao 2-1 dhidi ya Alliance Girls. Pambano hilo lililopigwa Juni 11, kwenye Uwanja wa CCM Kirumba,…

Read More