Vodacom M-Pesa, Vivo Energy Tanzania Washirikiana Kuchochea Malipo ya Kidijitali

Kampuni ya Vodacom Tanzania, inayoadhimisha miaka 25 ya kuwahudumia Watanzania, imetangaza ushirikiano rasmi na kampuni ya mafuta ya Vivo Energy Tanzania katika jitihada za kukuza na kuongeza matumizi ya malipo ya kidijitali kwa wateja wanaonunua mafuta katika vituo vyake vya Engen kote nchini Tanzania. Uzinduzi huu uliofanyika katika kituo cha mafuta cha Engen kilichopo Mikocheni,…

Read More

Dkt. Biteko Amwakilisha Rais Samia Kufunga Mkutano AAAG

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe.Dkt. Doto Biteko amewaasa wahasibu barani Afrika kuisimamia taaluma yao kikamilifu ili kuendeleza umuhimu na mchango na ukuaji wa uchumi duniani. Ameyasema hayo leo Desemba 04, 2024 wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kufungaji Mkutano wa Pili wa Jumuiya ya…

Read More

Kafulila atoa kauli wanaodhani ‘ubia ni kuuza nchi’

Mwanza. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila amesema nchi kuingia ubia na wawekezaji wa kigeni katika miradi inayotekelezwa, haimaanishi imeuzwa kama ilivyo mitazamo ya baadhi ya wananchi. Akizungumza leo Jumatano Aprili 16, 2025 katika kongamano la Kitaifa lililohusu ubia wa sekta ya umma na…

Read More

Kazi nzito Yanga, Ramovic aanza na Al Hilal

HUKO Yanga ndo sasa yanaanza. Ndio, kazi inaanza upya na presha ndani ya klabu hiyo sasa inahama kutoka kwa viongozi kidogo na kuhamia kwa wachezaji ambao leo watakutana kwa mara ya kwanza na kocha mpya wa timu hiyo, Sead Ramovic, huku akiwa na kazi ya kuanza kusoma faili la mmoja mmoja mapema. Presha ni kwamba…

Read More

Pamba Jiji yaendelea kusajili kimya kimya

BAADA ya kumalizana na kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba aliyekuwa Napsa Stars ya Zambia, Larry Bwalya, Pamba Jiji imeendelea kufanya yake kimyakimya ikidaiwa inazungumza na mshambuliaji Umar Abba, huku ikimpa mkataba wa miaka mwili John Mbise aliyekuwa Geita Gold. Pamba Jiji iliyomaliza nafasi ya 11 katika Ligi Kuu Bara ikivuna pointi 34 imeanza kuboresha…

Read More

Ukatili dhidi ya watoto wapungua Tanzania – Utafiti

Dar es Salaam. Matokeo ya utafiti wa kitaifa wa ukatili dhidi ya watoto na vijana (VACS-2024) yameonyesha ukatili kwa kundi la watoto kati ya miaka 13 hadi 24 umepungua kwa kiwango kikubwa. Matokeo hayo yameonyesha ukatili wa kingono, kimwili na kihisia kati ya watoto 11,414 umepungua ukilinganisha na utafiti wa kwanza wa VACS-2009 uliofanyika miaka…

Read More