Marioo aitikia wito na kufika katika ofisi za BASATA

Msanii wa kizazi kipya Omary Ally Mwanga Maarufu kama Marioo mapema leo ameitikia wito na kufika katika ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa  lengo ikiwa ni kufanya majadiliano na Katibu Mtendaji wa @basata.tanzania Dkt. Kedmon Mapana kuhusiana na sakata la wimbo wake wa “Iphone users” alioutoa Msanii huyo kuwa na maneno yaliyoleta utata katika…

Read More

Wawili washikiliwa kwa kujifanya askari polisi Geita

Geita.  Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linawashikilia watu wawili  kwa tuhuma za kujifanya maofisa polisi na kuchukua kiasi cha Sh25,000 kutoka kwa mwananchi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Saphia Jongo amethibitisha kukamatwa kwa watu hao na kuwataja kuwa ni Ismail John (25) na Bosco John (28) ambaye ni dereva bodaboda wote wakazi wa…

Read More

MAREKANI YATAKA UCHUNGUZI WA UCHAGUZI VENEZUELA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Marekani imeelekeza juhudi zake katika kushinikiza mabadiliko ya kimfumo ndani ya Venezuela baada ya uchaguzi wa rais wa hivi karibuni kuibua sintofahamu. Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, amesema kuwa kuna “ushahidi mkubwa” unaoonyesha kuwa mpinzani Edmundo González alishinda uchaguzi huo, akipingana na tangazo la ushindi la Rais Nicolás Maduro. “Kulingana na…

Read More

Jinyakulie Maokoto Mengi na Meridianbet Leo

NI Alhamisi murua kabisa ndani ya Meridianbet leo ambapo nafasi ya wewe kuibuka na zaidi ya mamilioni imefika. Timu za ushindi zpo tayari na ODDS za kibabe zinakusubiri. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Ligi kuu ya Saudi, SAUDI PROFESSIONAL LEAGUE inatarajiwa kuendelea siku ya leo hivyo na wewe ingia mzigoni kusaka Odds za…

Read More

Mbeya kukomesha biashara ya dawa asili kwenye mabasi

Mbeya. Wakati uuzaji wa dawa za asili ndani ya vyombo vya usafiri wa umma, hususan mabasi, ikishika kasi mkoani Mbeya, Serikali mkoani humo imesema itaongeza nguvu za kudhibiti na kuwachukulia hatua watakaobainika kujihusisha na biashara hiyo. Biashara hiyo imekuwa maarufu mkoani hapa, ambapo wajasiriamali hupanda magari kutangaza biashara zao kwa abiria na wakati mwingine hugeuka…

Read More

Mnigeria atua Fountain Gate | Mwanaspoti

Fountain Gate imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa kipa wa Tabora United raia wa Nigeria, John Noble kwa mkataba wa mwaka mmoja. Kipa huyo aliyejiunga na kikosi hicho Julai 31, mwaka jana akitokea Klabu ya Enyimba ya kwao Nigeria, amemaliza mkataba wake na Tabora United huku kukiwa hakuna mazungumzo mapya na kuifanya Fountain Gate kutumia fursa ya…

Read More

Ukweli kuwa mapenzi yalizaliwa Tanga

Tanga. Mkoa wa Tanga, upo Pwani ya kaskazini ya Tanzania, umepata sifa maalum katika masuala ya mapenzi na jinsi wakazi wake hasa wanawake wanavyodumisha na kuonyesha upendo wa dhati kwenye uhusiano. Inasemekana kwamba, kama kuna mahali ambako mapenzi yanaheshimiwa na kuenziwa hapa, basi ni Tanga. Hapa inaelezwa kuwa  mapenzi hayachukuliwi kama hisia tu bali ni…

Read More

WAZIRI ULEGA AAGIZA IDADI YA MAFUNDI SANIFU KUONGEZ

::::::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameiagiza Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kuongeza juhudi za kusajili wataalam wa kada ya mafundi sanifu na kuwajengea uwezo, kwani idadi iliyopo sasa hailingani na ile wanaostahili kusajiliwa. Waziri Ulega alitoa agizo hilo leo tarehe 22 Mei, 2025 mkoani Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya saba ya…

Read More