Hizi hapa shabaha mbili za Ramovic kwa TP Mazembe

Yanga itaingia rasmi kambini Avic Town leo Ijumaa kufanya maandalizi ya mwisho kabla ya kuikaribisha TP Mazembe katika pambano la raundi ya nne ya Ligi ya Mabingwa kwa Kundi A, huku benchi la ufundi na vigogo wa klabu hiyo wakiweka mkakati kabambe ili kurejesha heshima anga za kimataifa. Kwa sasa Yanga ndio inayoburuza mkia katika kundi hilo,…

Read More

Maisha Rahisi Cheza Sticky 777 Kasino ya Mtandaoni

*Sloti ya Sticky 777 MOJA kati ya biashara nzuri na yenye mtaji mdogo ni uuzaji wa matunda, huhitaji kuwa na mamilioni ufanye uwekezaji bali unahitaji akili tu ya namna ya kuweka dau lako. Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna huu mchezo wa Matunda unaitwa Sticky 777. Alama kubwa zaidi kwenye sloti hii ya kasino ya mtandaoni…

Read More

WEKEZA KATIKA UTAFITI KUCHOCHEA MAENDELEO: DKT. BITEKO

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali inatambua umuhimu na mchango wa utafiti wa kisayansi katika nyanja za kijamii, kiuchumi na kisayansi zinazochangia kuchochea maendeleo ya nchi. Dkt. Biteko ameyasema hayo leo Mei 14, 2024 jijini Dar es…

Read More

SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR YAIPONGEZA PUMA ENERGY TANZANIA KUZINDUA KITUO CHA MAFUTA NA HUDUMA ZA ZIADA

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Maji,Nishati na Madini katika Serikali ya Zanzibar Shaib Hassan Kaduara ameipongeza Puma Energy Tanzania kusogeza huduma ya nishati ya mafuta na huduma za ziada kwa wananchi wa Zanzibar baada ya kuzindua kituo cha kuuza mafuta Unguja visiwani Zanzibar. Puma Energy Tanzania imezindua kituo hicho ambacho ni cha kwanza katika visiwani…

Read More

DC MPOGOLO USAFI ZOEZI LA KUDUMU ILALA.

    Katika kuhakikisha  zoezi la usafi linakua la kudumu, Mkuu wa wilaya ya Ilala  Edward Mpogolo amewataka wananchi, wafanyabiashara na taasisi zote ndani ya halmashauri hiyo kufanya usafi kuwa zoezi la kudumu. Mkuu huyo wa wilaya ya Ilala ameyazungumza hayo wakati wa zoezi maalum la usafi lililofanyika february mosi 2025.  Mpogolo amesema mkakati wa…

Read More

Kigaila: Msigwa aje kulalamika vikaoni

Dar es Salaam. Siku moja baada ya aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa kudai kuwa msimamizi wa uchaguzi huo, Benson Kigaila kushindwa kusimamia vema mchakato huo, mwenyewe amemjibu akimtaka awasilishe malalamiko yake katika vikao.  Kigaila aliyekuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi huo uliofanyika Mei 29, 2024 Makambako mkoani Njombe, amesema Chadema haiwezi…

Read More

Nyota Savio aongoza kutupia BDL

WAKATI ushindani wa ufungaji ukiendelea katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), huko kunaonyesha kwamba  nyota wa Savio, Ntibomela Bukenge ndiye anayeongoza kwa ufungaji akiwa keshatupia pointi 124. Mchezaji huyo amegeuka moto katika mashindano hayo na ubora wake umekuwa ukionekana kila anapokuwa karibu na nyavu, kwani ni nadra kukosa kikapu anaposhuti. Bukenge…

Read More