UBISHI WA MZEE WA KALIUWA: Awesu ni MVP mpya Msimbazi?

PENGINE bado ni mapema sana, lakini kuna wachezaji tayari wameanza kuwasha moto mwanzoni kabisa mwa msimu. Joshua Mutale bado anajitafuta. Steven Mukwala bado anajipiga piga kifuani. Debora Fernandez taratibu aanza kuonyesha ni kwanini Simba wamemchukua, lakini Awesu Awesu tayari gari limewaka. Ukitazama mechi yake ya kwanza akiwa na jezi ya Mnyama Simba unaona umaridadi wa…

Read More

Ujenzi wa barabara Somanga waanza, mawe yamwagwa

Kilwa. Kufuatia agizo la Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa la kutaka barabara ya Dar es Salaam – Mtwara kuanza kujengwa maramoja katika eneo la Somanga, Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) mkoa wa Lindi, umeanza kutengeneza barabara hiyo. Jana Mei 5, 2024, Waziri Bashungwa alitembelea eneo la Somanga ilipoharibika barabara hiyo na kukata mawasiliano, akaiagiza Tanroads…

Read More

Vodacom Tanzania Yazindua Kampeni ya Kuadhimisha Miaka 25, Yabeba Ujumbe “Tupo Nawe, Tena na Tena”

Katika kuadhimisha miaka 25 ya kuwaunganisha Watanzania, Vodacom Tanzania PLC imezindua kampeni kubwa ya kitaifa inayobeba ujumbe wa “Tupo Nawe, Tena na Tena.” Kampeni hii itakayodumu kwa miezi minne, kuanzia Juni hadi Oktoba 2025, inalenga kusherehekea safari ya mafanikio tangu walipoanza kutoa huduma nchini mnamo mwaka 2000 hadi leo. Vodacom inawakumbusha Watanzania kuwa ipo nao…

Read More

TANZANIA NA UTURUKI ZAWEKA LENGO KUBWA LA KIBIASHARA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo,na Kaimu Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Bw. Ali Goktug IPEK,wakibadilishana Mkataba mara baada ya kusaini Azimio la Kamati ya Pamoja ya Biashara (JTC) kati ya Tanzania na Uturuki hafla iliyofanyika leo Julai 23,2025 jijini jijini Dar es Salaam. Na.Mwandishi Wetu SERIKALI ya Tanzania imeweka malengo makubwa ya…

Read More

WANANCHI WA TABORA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MASOKO YA MITAJI

NA: JOSEPHINE MAJULA, WF, TABORA Katibu Tawala Mkoa wa Tabora, Dkt. John Mboya amewataka Viongozi, Watumishi na Wananchi mkoani humo kuchangamkia fursa za uwekezaji katika Masoko ya Mitaji kwenye Taasisi rasmi zilizopewa dhamana na Serikali kufanya shughuli za uwekezaji kisheria ili kuweza kupata faida na kujikwamua kiuchumi. Dkt.Mboya, alitoa rai hiyo alipokutana na Timu ya…

Read More

Msigwa anavyoongeza joto ubunge CCM Iringa Mjini

Mwishoni mwa wiki iliyopita, mbunge wa zamani wa Iringa Mjini (Chadema), Peter Msigwa alipokelewa kama mwanachama mpya wa CCM baada ya kuamua kuachana na chama chake cha Chadema alichokitumikia kwa zaidi ya miaka 20. Kuhamia kwa Msigwa CCM, siyo tu kumenogesha siasa za vyama vingi, bali pia kumeongeza joto la kisiasa katika jimbo la Iringa…

Read More

Watoto 150,000 kupimwa selimundu Mwanza

Mwanza. Wizara ya Afya kwa kushirikiana na taasisi ya Baylor Tanzania imepanga kuwapima jumla ya watoto 150,000 wenye umri chini ya miaka mitano viashiria vya selimundu mkoani Mwanza ili kuwagundua mapema na kuwaanzishia matibabu na chanjo, kwa lengo la kukabiliana na ugonjwa huo uliokuwa tishio mkoani humo.Upimaji huo utafanyika kwa muda wa miaka mitatu kuanzia…

Read More