Wahandisi vijana kupigwa msasa na ERB

Dar es Salaam. Wahandisi vijana takriban 500 wanatarajiwa kushiriki katika kongamano lililoandaliwa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) likilenga kuwapiga msasa. Kongamano hilo la siku mbili kuanzia Septemba 2-3 ni sehemu ya matukio yanayotarajiwa kufanyika kuelekea mkutano wa mwaka wa wahandisi nchini unaotarajiwa kufanyika Septemba 2-3 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Amesema kongamano hilo…

Read More

Mastaa sita Simba wanavyoibeba Yanga

WAKATI mashabiki wa Simba wakiendelea kulia na mastaa wa kikosi chao baada ya timu yao kukosa matokeo mazuri lakini upande wa pili umefichua juu ya sajili sita nzito za wekundu hao zinazowabeba watani wao Yanga. Ndani ya kikosi cha Yanga kuna mastaa sita ambao waliwahi kutajwa kutakiwa na Simba lakini ghafla watani wao wakajibebea kiulaini…

Read More

TARURA Rukwa yaboresha miundombinu ya barabara

Rukwa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kuboresha huduma za usafiri na usafirishaji kwa kujenga barabara, vivuko na madaraja katika maeneo mbalimbali mkoani Rukwa ili kuinua shughuli za kijamii na kiuchumi. Akizungumza na waandishi wa habari Meneja wa TARURA Mkoa wa Rukwa, Mhandisi William Lameck alisema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa…

Read More

Lissu aomba ajitetee mwenyewe mahakamani, ataja sababu

Dar es Salaam. Mwenyekiti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameomba mahakamani ajitetee mwenyewe huku akitaja sababu ni kuwa mawakili wake kutopewa nafasi ya faragha kuzungumza naye gerezani. Lissu amebainisha hayo leo Jumatatu Juni 16, 2025 wakati kesi yake ikianza kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Lissu anakabiliwa na kesi ya…

Read More