Serikali yakiri upungufu wa maprofesa, yaanika mikakati kuukabili

Dar es Salaam. Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo amekiri kwamba kuna uhaba wa wahadhiri nchini, hata hivyo amesema Serikali imechukua jitihada za kuhakikisha wataalamu kutoka nje wanakuja nchini kutoa mafunzo. Japo hakutoa takwimu ya upungufu uliopo wa wahadhiri nchini, Profesa Nombo amesema hatua nyingine ambayo Serikali imechukua ili uhaba…

Read More

BUNGE LAIDHINISHA MUSWADA WA SHERIA YA FEDHA WA MWAKA 2024

Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisoma Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2024, ambao umepitishwa na Bunge baada ya kujadiliwa mara ya pili, bungeni jijini Dodoma. Muswada huo unatarajiwa kufanya marekebisho ya sheria za kodi ili kuwezesha utekelezaji wa kisheria wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/2025. Waziri wa Fedha…

Read More

Kaya 394,000 kuchomolewa orodha ya Tasaf

Iringa. Baada ya tathmini kuonyesha kaya 394,000 zimeweza kujimudu kiuchumi, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) unatarajia kuziondoa katika mpango huo. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tasaf, Shadrack Mziray amesema Juni, 2024 utakuwa wa mwisho kwa kaya hizo kupokea fedha kutoka Tasaf, hivyo kuanza kujitegemea. Akizungumza leo Juni 28, 2024 wakati wa ziara ya wadau wa…

Read More

Biashara Tunduma zarejea maduka yafunguliwa

Wafanyabiashara wa mkoa wa Songwe katika masoko yaliyopo Tunduma wilayani Momba wameungana na wenzao wa mikoa mingine ikiwemo Kariakoo kufungua maduka baada ya serikari kuahidi kufanyia kazi changamoto zao.  Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe … (endelea). Hatua hiyo imekuja ikiwa zimepita siku tatu za mgomo wa wafanyabiashara hao kuanzia tarehe 24 hadi 27n  Juni mwaka huu,…

Read More

Washtakiwa mauaji ya Milembe wajitetea, waomba kuachiwa huru

Geita. Washtakiwa wanne wanaodaiwa kumuua Milembe Suleman (43) kwa kumkata na kitu chenye ncha kali, wamejitetea wakieleza kutohusika na tukio hilo, wakiiomba mahakama iwaachie huru. Wamewasilisha ombi hilo mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Geita, Kelvin Mhina walipotoa utetezi wenyewe mahakamani hapo. Juzi, upande wa mashtaka ulifunga ushahidi ukiwa na mashahidi 29…

Read More

NHIF YAINGIA MAKUBALIANO NA ZHSF 

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Bw.Bernard Konga (kulia) na  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),Yaasin Juma,wakisaini (kuhsoto) wakibadilishana  Mkataba wa mashirikiano ya utoaji huduma za Afya kati ya Taasisi hizo mbili ,hafla iliyofanyika leo Juni 28,2024 jijini Dodoma. MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima…

Read More

Tanzania kukutana na mabalozi 9 kutatua changamoto za kikodi

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imekubali ombi la Mabalozi wa nchi mbalimbali walioomba kikao cha kujadili kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa lengo la kukwamua changamoto zinazowakabili wawekezaji kutoka nchi zao. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mabalozi walioomba kikao na Serikali ya Jamhuri ya…

Read More

WADAU WAKUTANA KUJADILI UTEKELEZAJI MALENGO YA SDGs

NAIBU  Katibu Mtendaji Tume ya Mipango Dkt. Lorah Madete,akizungumza wakati akifungua  Warsha ya Jukwaa la  kitaifa ya kuimarisha utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) lililowashirikisha wadau kutoka Serikalini na asasi za kiraia lililofanyika leo Juni 28,2024 jijini Dodoma.   Mchumi Mwandamizi kutoka Ofisi a Rais – Tamisemi.  Idara ya Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bi….

Read More