SERIKALI HAIWEZI KURUHUSU WANANCHI WAPATE MADHARA

Naibu waziri wa madini Dkt Steven Kiruswa ametembelea katika ujenzi wa mradi wa kiwanda kidogo cha majaribio ya uchimbaji madini ya Uranium unaozalishwa na kampuni ya uchimbaji madini MANTRA uliopo kijiji cha Likuyu wilaya ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Likuyu wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma amesema wananchi waachane na…

Read More

MHASIBU MKUU TANGA ACHUKUA FOMU UBUNGE KILWA KUSINI,

………………. KILWA.  Mhasibu  Mkuu Mkoa wa Tanga, Ahmed Bongi amejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania kuteuliwa  nafasi ya Ubunge Jimbo la Kilwa Kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Bongi ambaye alikuwa Mhasibu Mkuu Mkoa wa Lindi kabla ya kuhamishiwa mkoani Tanga amechukua fomu hiyo jana  katika ofisi za CCM Kilwa na Katibu wa CCM Wilaya ya…

Read More

Wananchi Serengeti waiangukia Serikali uvamizi wa wanyamapori

Serengeti. Wakazi wa Kijiji cha Makundusi, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara wamelalamikia ongezeko la matukio ya wanyamapori, hususan tembo na simba kutoka Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, kuvamia makazi yao na kusababisha uharibifu wa mali na kuwafanya waishi kwa wasiwasi. Kutokana na hali hiyo, wameiomba Serikali kuangalia namna ya kusaidia kuondokana na changamoto hiyo ambayo…

Read More

betPawa YAANDIKA HISTORIA YA USHINDI MKUBWA WA AVIATOR AFRIKA WA SH. 2.6 BILIONI KWA RAUNDI YA MCHEZO MMOJA

  Dar es Salaam. Kampuni kinara ya michezo ya kubashiri mtandaoni barani Afrika, betPawa, imeitikisa Afrika na kutengeneza historia kufuatia ushindi wa Sh2.6 bilioni (sawa na Dola za Kimarekani milioni 1.1) katika raundi moja kupitia mchezo wa aviator maarufu kwa jina la kindege. Washindi walioshinda fedha hizo wanatoka nchi za Cameroon, Ghana na Zambia. Haya…

Read More

WAZIRI MKENDA APONGEZA SHIRIKA LA MAPADRE LA KAZI YA ROHO MTAKATIFU (ALCP/OSS) KWA KUWEKEZA KATIKA YA ELIMU

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda Novemba 21, 2024 amepongeza shirika la Mapadre la kazi ya Roho Mtakatifu(ALCP/OSS) kwa kuchangia katika huduma za kijamii ikiwemo elimu nchini. Amesema hayo katika halfa ya Jubilei ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa shirika hilo mwaka 1974 iliyofanyika katika makao makuu ya shirika Sabuko Sanya…

Read More

Mkakati mpya utakavyopunguza vifo vya watoto wachanga

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imezindua fomu mpya ya uandikishaji kwa watoto wachanga wanaolazwa ‘register’ ikiwa ni mkakati wa kupambana na vifo vya watoto wachanga. Kabla ya uwepo wa register hiyo, taarifa za watoto wachanga zilikuwa zikiandikishwa katika kadi la mama mjamzito au register za wagonjwa wanaolazwa ambao ni watu wazima, hivyo kukosa taarifa…

Read More

Sabaya yupo huru,DPP aondoa rufaa

Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) Silvester Mwakitalu, leo May 05,2024 amewasilisha katika Mahakama Kuu ya Tanzania masijala ya Arusha ombi la kuiondoa rufaa No.155 ya Mwaka 2022 aliyokuwa ameikata dhidi ya Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake saba ya kudaiwa kujipatia Tsh. milioni 90 kwa Mfanyabiashara Francis Mroso. Rufaa hiyo…

Read More

Mzalishaji pombe bandia aishukuru Mahakama kumtia hatiani

Dar es Salaam. Mfanyabiashara aliyekuwa akimiliki kiwanda bubu cha kutengeneza na kusambaza pombe kali bandia, Frank Donatus Mrema na wenzake wawili aliokuwa amewaajiri katika kiwanda hicho, wamehukumiwa adhabu ya kifungo cha maisha jela, huku mmoja akimwaga shukrani kwa Mungu na Mahakama baada ya kutiwa hatiani. Frank na wenzake hao, Faham Salim Ngoda na Issa Juma…

Read More