Mbowe: CCM wanajua uchaguzi huru, haki hawatoboi

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimejiahakikishia ushindi katika chaguzi zijazo huku kikibainisha kuwa uchaguzi huru Chama cha Mapinduzi (CCM) hawatatoboa. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa Juni 28, 2024 na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe, wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Dareda mjini Babati. Chama hicho kinaendelea na…

Read More

Sudan yakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula – DW – 28.06.2024

Ripoti iliyoandaliwa kwa kutumia kipimo cha kuboresha tathmini ya usalama wa upatikanaji wa chakula na mchakato wa kupitisha maamuzi, Integrated Food Security Phase Classification, IPC imerekodi kwamba katika miezi kumi na nne ya mzozo, Sudan inakabiliwa na viwango vibaya zaidi vya uhaba wa chakula. Aidha ripoti hiyo imedokeza kwamba mgogoro huo unatarajiwa kuathiri takriban watu…

Read More

Ajibu aikacha Coastal akimbilia jeshini

KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Simba, Yanga, Azam na Singida FG aliyekuwa akikipiga Coastal Union, Ibrahim Ajibu amesaini mkataba wa miaka miwili na maafande wa JKT Tanzania. Ajibu aliyeichezea Coastal kwa mafanikio akiwa nahodha akisaidiana na wenzake waliifanya timu hiyo imalize ya nne katika Ligi Kuu Bara hivi karibuni na kukata tiketi ya Kombe la…

Read More

Watu 20,000 wapatiwa matibabu kambi madaktari bingwa Arusha

Arusha. Wananchi 20,000 wamehudumiwa katika kambi ya matibabu ya madaktari bingwa na wabobezi inayoendelea katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. Akizungumza leo Ijumaa Juni 28, 2024, viwanjani hapo, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema tangu kuanza kwa kambi hiyo Juni 24 hadi 27, 2024, wananchi 20,000 wamepatiwa vipimo, matibabu na dawa….

Read More