Makosa hatari ya kitabibu kwa wagonjwa wodini

Dar es Salaam. Wagonjwa wenye mahututi walio wodini, wako hatarini mara saba zaidi kupoteza maisha kwa kukosa huduma za msingi, utafiti umebaini. Imebainika kuwa asilimia 69 ya wagonjwa mahututi tofauti na dhana iliyojengeka, walikuwa wakitibiwa katika wodi za kawaida na sio wodi za uangalizi maalum  (ICU). Kufuatia matokeo hayo, wataalamu wa afya wamesema endapo madaktari…

Read More

Morrison, Yondani wampa mzuka kipa KenGold

KIKOSI cha KenGold kinaendelea kujifua kabla ya kuanza ngwe ya lala salama ya Ligi Kuu Bara, huku kipa namba moja wa timu hiyo, Castor Mhagama akisema ujio wa wachezaji wapya waliosajiliwa dirisha dogo akiwamo Bernard Morrison ‘BM’ , Kelvin Yondani na wengine umeongeza mzuka kikosini. Mhagama alisema ujio wa wachezaji hao utasaidia kuinusuru timu hiyo,…

Read More

Vifo vyafikia 42 ajali ya Same

Moshi. Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na ajali ya kugongana uso kwa uso kwa magari mawili katika Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, imeongezeka na kufikia 42. Majeruhi wawili wa ajali hiyo bado wanaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, baada ya wengine 24 kuruhusiwa. Ajali hiyo ilitokea Juni 28, 2025, katika eneo…

Read More

Asilimia 85 ya watoto walioathiriwa na polio mwaka 2023 waliishi katika maeneo dhaifu na yaliyoathiriwa na migogoro: UNICEF – Masuala ya Ulimwenguni

Katika Siku ya Polio Duniani, UNICEF imetoa onyo kali: kesi za polio katika nchi dhaifu na zilizoathiriwa na migogoro zimeongezeka zaidi ya mara mbili katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, huku asilimia 85 ya watoto walioathiriwa na ugonjwa huo mnamo 2023 wakiishi katika maeneo haya. “Katika migogoro, watoto wanakabiliwa na zaidi ya mabomu na risasi;…

Read More

WANANCHI SIO DHAMBI KUJUA MAPATO NA MATUMIZI YA MIRADI MBALIMBALI KATIKA MAENEO YENU.

Katika jitihada zakutoa elimu kwa wananchi kufahamu haki ya kuhoji juu ya mienendo ya miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo yao , taasisi ya Wajibu imezindua mradi wa NINAWAJIBIKA unaolenga kutoa hamasa kwa wananchi kujikita katika kuhakikisha wanajenga utaratibu wakuwajibika kikamilifu kufahamu mapato na matumizi ya miradi mbalimbali katika jamii kwani wanahaki yakujua gharama zote ikiwa…

Read More

KONGAMANO LA KODI LAANZA JIJINI DODOMA

Kamishna Msaidizi Idara ya Sera, Wizara ya Fedha Bw. William Mhoja (wa kwanza kulia walioketi), akiwa katika picha ya pamoja na wataalam na washauri wa kodi, wadau wa sekta mbalimbali nchini, wafanyabiashara, wazalishaji wa bidhaa na mazao mbalimbali, (wa kwanza kushoto ni Kamishna Msaidizi Idara ya Sera, Wizara ya Fedha Bw. Juma Mkabakuli, katika Kongamano…

Read More