Mabula afichua kitu Azerbaijan | Mwanaspoti

KIUNGO wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema huu unaweza kuwa msimu wake bora na wenye mafanikio tangu aanze kucheza soka la kulipwa. Kabla ya kutimkia Shamakhi kiungo huyo aliwahi kuitumikia FK Spartak Subotica ya Ligi Kuu ya Serbia maarufu kama Serbian SuperLiga kwa misimu miwili. Akizungumza na Mwanaspoti, Mabula alisema msimu…

Read More

Ngoy awekewa mkataba mpya Namungo

WAWAKILISHI wa mshambuliaji wa Namungo FC, Mkongomani, Fabrice Ngoy wamepokea mkataba mpya kutoka kwa uongozi wa kikosi hicho cha Wauaji wa Kusini ambao wanataka wakamilishe dili hilo mapema, kabla ya msimu huu wa 2025-2026, haujaisha. Mshambuliaji huyo aliyeitumikia Namungo kwa misimu mitatu, mkataba wake wa sasa unafikia ukomo mwishoni mwa msimu huu wa 2025-2026, ambapo…

Read More

Simba kuna sapraizi | Mwanaspoti

UKIWEKA kando kile kilichotokea usiku wa jana pale kwenye Dimba la Obed Itani Chilume lililopo Francistown, Botswana, Simba imewaandalia sapraizi mashabiki wake jijini Dar es Salaam ikiwa ni kuwafuta machozi baada ya kupigwa katika Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga. Sapraizi hiyo ni katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali…

Read More

Fahamu Mambo Muhimu Yasiyotakiwa Pupuuzwa Katika Gari Lako

Global Publishers February 26, 2026 0 Comments Kila mmiliki wa gari anapaswa kuwa makini na alama ndogo ndogo zinazoweza kuashiria matatizo makubwa yanayoweza kusababisha ajali au gharama kubwa za matengenezo. Kupuuza tatizo dogo leo inaweza kumaanisha tatizo kubwa kesho. Hapa kuna mambo muhimu yasiyotakiwa kupuuzwa kwenye gari lako: 1️⃣ Breki – Moyo wa UsalamaBreki ni…

Read More