Wasudan waipora Simba mido wa boli

MIAMBA ya soka la Sudan, Al Hilal Omdurman imeizidi kete Simba katika mbio za kuwania saini ya kiungo, Serge Pokou aliyekuwa akihusishwa nao katika mpango wa kukiimarisha upya kikosi kipya msimu ujao. Awali Simba ndio iliyokuwa  ikiongoza vita hiyo ya kumnasa fundi huyo kutoka ASEC Mimosas, lakini Wasudan hao wameingilia kati dili hilo na kumwaga…

Read More

Mtoto wa siku moja atupwa kwenye ndoo Moro

Morogoro. Mwili wa mtoto mchanga (Kichanga) umeokotwa leo juni 28, baada ya kutelekezwa daraja la Kasanga Msikitini, Barabara ya Kuu ya Morogoro Iringa Mtaa wa Mgaza Kata ya Mindu Manispaa ya Morogoro na mtu ambaye hakufahamika. Akizungumza na Mwananchi Digital leo juni 28, Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa  Mtaa wa Mgaza Spesioza Sylivestre amethibitisha…

Read More

Serikali yawakumbuka waathirika wa mafuriko Bukoba

Bukoba. Kaya 49 zenye watu 147 zilizoathirika na mafuriko katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, wamekumbukwa na Serikali kwa kupatiwa msaada wa vifaa na chakula. Kaya hizo ziliathiriwa na mvua iliyonyesha Mei 10, 2024 na kuleta  maafa katika Halmashauri ya manispaa ya Bukoba na kusababisha binti mmoja aliyetambulika kwa jina la Leah (19) kupoteza maisha….

Read More

Waathirika wa mafuriko Bukoba wapewa msaada

Bukoba. Kaya 49 zenye watu 147 zilizoathirika na mafuriko katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, wamekumbukwa na Serikali kwa kupatiwa msaada wa vifaa na chakula. Kaya hizo ziliathiriwa na mvua iliyonyesha Mei 10, 2024 na kuleta  maafa katika Halmashauri ya manispaa ya Bukoba na kusababisha binti mmoja aliyetambulika kwa jina la Leah (19) kupoteza maisha….

Read More

Lebron, Mwanawe watakavyokipiga NBA | Mwanaspoti

REKODI mpya imewekwa kwenye mchezo wa mpira wa kikapu duniani, na hii imetokea kwenye Ligi ya NBA, baada ya jana Ijumaa, Los Angeles Lakers kumtambulisha kikosini mtoto wa nyota wa timu hiyo, LeBron James aitwaye, Bronny James kama mchezaji mpya wa timu hiyo msimu ujao. Bronny alizua gumzo baada ya kuchaguliwa kutoka katika drafti namba…

Read More