KAWAAMBIENI WALIOWATUMA KAZI YA KUZUIA UCHAGUZI MKUU NI NGUMU KAMA ILIVYOKUWA VIGUMU KUMFUFUA ALIYEKUFA-WASIRA

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)Stephen Wasira amesisitiza kuwa hakuna mtu yoyote ambaye anaweza kuzuia Uchaguzi Mkuu mwaka huu usifanyike na hao wanaotaka kuuzuia kama wametumwa wawaambia hao waliowatuma kwamba kazi hiyo ni ngumu na haitawezekana. Akizungumza na wananchi wa Mbeya Mjini leo Machi 17,2025 katika mkutano wa hadhara, Wasira ametumia nafasi…

Read More

Wazazi, shule hofu yazidi kutanda watoto kupotea Dar

Dar es Salaam. Hofu imezidi kuwakumba wazazi na shule jijini Dar es Salaam kutokana na matukio ya watoto kupotea. Wasiwasi umechangiwa na tukio la hivi karibuni lililotokea Mbagala wilayani Temeke, Dar es Salaam, ambako Yusra Mussa, mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Mbagala Kuu, aliuawa ikidaiwa baadhi ya viungo vya mwili wake,…

Read More

Cabaye ashtukia kitu KenGold | Mwanaspoti

KIUNGO wa KenGold, Abdallah Masoud ‘Cabaye’, ameelezea kuwa wakati umefika kwa wachezaji wa timu hiyo kujitathmini na kubadilisha mwenendo mbaya katika Ligi Kuu Bara, ambayo wanaburuza mkia. Hii ni baada ya KenGold kushinda mechi moja tu, kutoa sare tatu, na kupoteza kumi na moja katika michezo 15 ya mzunguko wa kwanza. Masoud ‘Cabaye’, alisema kuwa…

Read More

JIWE LA SIKU: Mzimu wa Baleke, Saido unavyoipa presha Simba

SIMBA iko kwenye mchakato wa kutengeneza upya kikosi chake bora kitakachobeba matumaini ya kurudisha heshima ya klabu iliyolega kwa miaka mitatu sasa lakini ndani ya hilo itapambana kuzima presha ya mastaa wao wawili wa zamani walioacha rekodi ngumu. Hesabu za Simba ni kama itatema mastaa wengi wa kigeni wasiopungua saba lakini eneo ambalo litawapa presha…

Read More

Kilio cha wazazi vyoo kuwa mbali na shule

Dar es Salaam. Wazazi wa wanafunzi wanaosoma Shule ya Msingi Tabata, wilayani Ilala, jijini Dar es Saalam wameonesha wasiwasi kuhusu usalama wa watoto wao wanaolazimika kuvuka barabara kufuata huduma ya vyoo. Wanafunzi hulazimika kutembea umbali wa takribani mita 30 kufuata vyoo vilivyo nje ya eneo la shule, wakivuka barabara katika Mtaa wa Tabata Shule. Barabara…

Read More

Kipa Mtibwa awapiga mkwara Camara, Diarra

SAA chache baada ya kuiwezesha Mtibwa Sugar kupanda daraja na kunyakua ubingwa wa Ligi ya Championship, kipa Costantine Malimi amesema kwa sasa ameiva na yuko tayari kwa mikikimikiki ya Ligi Kuu Bara na kuonyesha ushindani dhidi ya Moussa Camara wa Simba na Djigui Diarra wa Yanga. Malimi amekuwa mhimili mkubwa kwenye mafanikio ya Mtibwa Sugar…

Read More

Besigye atoweka Nairobi, mkewe adai anashikiliwa Kampala

Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda, Dk Kizza Besigye anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana jijini Nairobi, Kenya. Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Monitor ya nchini Uganda, Dk Besigye ambaye ni mpinzani wa muda mrefu wa Rais Yoweri Museven aliripotiwa kutekwa Jumamosi Novemba 16, 2024 jijini Nairobi alipokwenda kuhudhuria uzinduzi wa kitabu cha mwanasiasa wa Kenya,…

Read More

Ongezeko la bodaboda na uhusiano wake kiuchumi

Bila shaka utakubali kuwa bodaboda imetoa ajira kwa watu wengi husuan vijana na kutokana na changamoto ya ukosefu wa ajira, hivi sasa kuna utani mpya mtandao ambao unawahimiza wanafunzi kujifunza udereva wa bodaboda wanapoelekea kumaliza masomo yao. Bodaboda zinaongezeka na madereva wanaongezeka, takwimu za Benki kuu ya Tanzania (BoT) zinaonyesha kuwa kwa mwaka 2024 pekee…

Read More