Wabunge wahoji ugawaji wa maeneo ya utawala

Dodoma. Wakati baadhi ya wabunge wakihoji kuhusiana na ugawaji wa maeneo ya utawala, Serikali imesema kwa sasa kipaumbele kimewekwa katika uboreshaji wa miundombinu kwenye maeneo hayo. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk Festo Dugange ameyasema hayo leo Ijumaa Juni 28, 2024 wakati akijibu swali la…

Read More

Bocco kukabidhiwa unahodha JKT, Ilanfya ndani

MSHAMBULIAJI John Bocco anatarajiwa kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa na JKT Tanzania na tayari amepiga picha za utambulisho na kaingiziwa pesa zake za usajili. Mwanaspoti imepata taarifa za ndani kutoka kwa uongozi wa timu hiyo zikieleza kwamba Bocco ndiye atakayekuwa nahodha mpya wa kikosi hicho. Bocco amesajiliwa na JKT Tanzania kwa mkataba wa mwaka mmoja…

Read More

Bilioni 743 zatolewa kwa wanafunzi wa elimu ya juu

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwa mwaka 2023/2024 hadi kufikia Juni, 2024 jumla ya wanafunzi 224,056 wamepatiwa mikopo yenye jumla ya Sh 743.2 bilioni sawa na asilimia 94.6 ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mikopo hiyo ni kwa ngazi ya stashahada, shahada ya…

Read More

Trump alivyomtoa mchezoni Biden kwenye mdahalo

Dar es Salaam. Kabla ya Alhamisi jioni, Wamarekani wengi walikuwa wameelezea wasiwasi wao kuhusu umri wa Rais wao, Joe Biden na ubora wa afya yake kwenye majukumu yake ya kiofisi. Biden aliingia kwenye mdahalo baina yake na Donald Trump akiwa na matarajio ya chini, na akateleza. Alikuwa mnyonge. Alikuwa anazungumza bila mpangilio na hana uwazi….

Read More

Simba Day Agosti 3 | Mwanaspoti

TAMASHA la ‘Simba Day’ mwaka huu litafanyika Agosti 3  kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam badala ya Agosti 8 kama ambavyo imezoeleka kila msimu. Tamasha hilo ambalo limekuwa maarufu nchini limepangwa kufanyika Agosti 3 kutokana na ratiba ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inayohusiana na mechi za Ngao ya Jamii itakayopigwa kati…

Read More

Aliyeshtakiwa kwa tuhuma za kumuua mkewe aachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Geita imemuachia huru Baraka Shija, aliyekuwa ameshtakiwa kwa kosa la kumuua mkewe, Grace Daudi baada upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha kosa na kuacha mashaka yaliyompa faida mshitakiwa. Hukumu hiyo ambayo imepatikana katika mtandao wa Mahakama jana, imetolewa Jumanne Juni 25, 2024 na Jaji Kelvin Mhina wa Mahakama hiyo, aliyekuwa akisikiliza…

Read More

RC Malima aagiza madiwani Gairo kununuliwa vishikwambi

Morogoro. Katika kuhakikisha utendaji unakwenda kwa kasi ya sayansi na teknolojia, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya Gairo, Sharifa Yusuph kuwanunulia madiwani wote vishikwambi. Malima amesema lengo la vishikwambi hivyo ni  kupunguza gharama za matumizi ya karatasi ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi kwenye halmashauri hiyo. Malima ameyasema hayo…

Read More