Profesa Kabudi ataja matokeo tarajiwa Daraja la JP Magufuli

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amesema daraja la JP Magufuli linakwenda kuimarisha diplomasia ya kiuchumi na kindugu pamoja na kuendeleza sifa ya Tanzania kuwa lango la nchi nyingine za Afrika Mashariki na kati. Amesema katika diplomasia, daraja hilo linaloongoza kwa urefu Afrika Mashariki ni kiungo katika kukuza…

Read More

Mtandao wa EFD kilio cha wafanyabishara Zanzibar

Unguja. Wakati wafanyabiashara wakieleza changamoto ya kukosekana mtandao kwa muda katika mashine za kielektroniki za kutoa risiti (EFD), Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imesema zinaweza kutumika bila mtandao kwa saa kadhaa. Hayo yameelezwa jana Jumanne, Desemba 24, 2024 wakati ZRA ilipowatembelea wafanyabiashara kusikiliza changamoto zao, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya furaha kwa walipakodi yanayofanyika…

Read More

Rais TEC asimulia shambulio la Padri Kitima, awapinga Polisi

Dar es Salaam. Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Wolfgang Pisa amesema Padri Charles Kitima ameshambuliwa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani na kujeruhiwa kidevuni. Hata hivyo, amesema taarifa zinazoeleza kabla ya kushambuliwa alikuwa akipata kinywaji ni upotoshaji, badala yake shambulio dhidi yake lilifanywa alipotoka eneo la mgahawa ambalo siku zote hulitumia…

Read More

Askofu: Charles Hillary mtu makini, alipenda kanisa

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam, Jackson Sosthenes amesema Charles Hillary. alikuwa mtu makini na alilipenda kanisa. Kabla ya umauti, Charles alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Charles alifariki dunia Mei 11, 2025 wakati akipelekwa Hospitali…

Read More

Unaondoaje chuki kwa mwenza wako?

Katika safari ya maisha ya ndoa au uhusiano wa kimapenzi, hakuna hisia kali kama zile zinazohusiana na upendo na chuki.  Mapenzi ni hisia inayoweza kukuinua hadi mawinguni, lakini chuki inaweza kukupeleka katika giza la hisia mbaya, kutoelewana na hata kutengana.  Lakini swali kuu ni: je, inawezekana kweli ukamchukia mwenza wako iwe ni mume au mke…

Read More

BARAZA LA MAWAZIRI EAC LAKUTANA JIJINI ARUSHA

Mkutano Maalum wa 53 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki umefanyika leo tarehe 25 Aprili 2024 Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha. Mkutano huo, pamoja na masuala mengine umejadili na kupitisha Makadrio ya Bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Ujumbe wa Tanzania katika Mkutano huo umeongozwa…

Read More

Kampeni ya Polio inawafikia watoto 94,000 katika kaskazini iliyozingirwa – Masuala ya Ulimwenguni

Kampeni ya chanjo ya polio inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ilihitimishwa kaskazini mwa Gaza iliyozingirwa siku ya Jumatatu, huku mashirika yakiwachanja watoto 94,000, lakini maelfu bado hawajafikiwa. Richard Peeperkorn wa Shirika la Afya Duniani (WHO) katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu alisema lengo lilikuwa kuwafikia watoto wote wa kaskazini na dozi ya pili…

Read More