Biashara zarejea Kariakoo, Wafanyabiashara wataja mwarobaini

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa Kariakoo, jijini hapa wameendelea na shughuli zao baada ya kugoma kwa siku nne kuanzia Jumatatu Juni 24, 2024 huku wakidai mapendekezo ya kupunguzwa kwa faini ya Sh15 milioni hadi Sh4 milioni imebaki kwenye makaratasi. Mgomo huo ulioanzia Dar es Salaam, ulisambaa mikoa mingine ikiwamo Kigoma, Arusha, Dodoma, Mbeya, Mwanza, Mtwara,…

Read More

Wairan wapiga kura kumchagua rais mpya – DW – 28.06.2024

Wagombea wanne ambao wote ni watiifu kwa kiongozi wa juu zaidi nchini humo wanakabiliana vikali kwenye uchaguzi huu. Kituo cha televisheni ya umma kilionyesha msururu wa watu waliojipanga kwenye vituo vya kupiga kura kwenye miji kadhaa nchini Iran ambako raia milioni 61 wanastahili kupiga kura hadi majira ya saa 12.00 za jioni ambako vituo vitafungwa rasmi,…

Read More

MIGOGORO YA ARDHI ITATULIWE KABLA YA URASIMISHAJI KUANZA

Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga Bw. Said Kitinga akifungua kikao cha kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo tarehe 28 Juni 2024 Mkoani Shinyanga. Wadau wa Sekta ya Ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga waliohudhuria Mkutano wa Wadau kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa…

Read More

Wabuni mfumo wa kulipa ada kidjitali

Dar es Salaam. Kampuni ya mtandao wa simu ya Airtel imejitosa kuunga mkono juhudi za Serikali ya matumizi ya teknolojia katika shughuli za kielimu kwa kuwawezesha wazazi kulipa ada kwa mfumo wa kidigitali. Mfumo huo utawawezesha wazazi kulipa ada popote pale watakapokuwa kupitia simu ya kiganjani hatua inayotajwa kuwasaidia kuokoa muda, usumbufu pamoja na changamoto…

Read More

Simba yatema wawili wa kigeni

KATIKA kusuka kikosi kipya cha msimu ujao wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens imeachana na nyota wawili wa kigeni. Joanitha Ainembabazi Mabingwa hao mara wa nne wa WPL wameachana na Danai Bhobho raia wa Mzibabwe na Mganda Joanitha Ainembabazi. Habari kutoka ndani ya Simba zinaeleza kuwa wachezaji hao hawatakuwa sehemu ya kikosi cha…

Read More

Tamaduni za kigeni chanzo ukatili wa kijinsia, mauji albino

NAIBU Waziri Mkuu, Dk. Dotto Biteko amesema vitendo vya mmomonyoko wa maadili vinavyotokea nchini ikiwamo mauaji ya watu wenye ualbino na mapenzi ya jinsia moja ni matokeo ya Watanzania kuuacha utamaduni wao na kuukumbatia wa mataifa mengine. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Biteko ameyasema hayo katika Tamasha la Utamaduni la Bulabo 2024 lililofanyika katika Kata…

Read More

Sababu kisayansi matiti ya mwanamke kusinyaa

Dar es Salaam. Kama ulikuwa na fikra kwamba ukinyonyesha mtoto matiti yako yatalala (kusinyaa), yafute mawazo hayo. Maziwa ya mama ndiyo chakula cha kwanza kwa kila mtoto anayekuja duniani na wataalamu wa afya wanaeleza kuwa ni kinga ya magonjwa mengi kwa mtoto. Hivyo mama anapomnyonyesha mtoto kwa usahihi, inaelezwa kuwa ni moja ya njia sahihi…

Read More