Hamisa na Baba Levo washinda tuzo

Mwimbaji Star Clinton Levokatusi Chipando Maarufu Kama Baba Levo Pamoja na mrembo Hamisa Mobetto wameshinda tuzo ya Influencers Bora wa Mwaka kupitia tuzo za Consumer Choice Awards Africa zilizotolewa Usiku wa Jana Baba Levo baada ya ushindi huo amefunguka kwa kusema “Mtanange ulikuwa Mzito sana, nawashukuru waandaaji wa Tuzo, ni mara yangu ya kwanza kugombea…

Read More

Gomez wa Fountain Gate atua Wydad Casabalanca

WAKATI ikiwa inaendelea kufukuzia saini ya nyota wawili wa Yanga, Clement Mzize na Stephane Aziz KI, klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco imekamilisha dili la kumnasa mshambuliaji wa Fountain Gate, Seleman Mwalim ‘Gomez’ kwa mkataba wa miaka minne wenye thamani ya Sh891 milioni. Gomez anaichezea Fountain Gate kwa mkopo kutoka Singida Black Stars na inaelezwa…

Read More