Wanne wana kesi ya kujibu mauaji ya Milembe

Geita. Washtakiwa wanne kati ya watano wanaodaiwa kumuua Milembe Suleman (43), wamekutwa na kesi ya kujibu na wataanza kujitetea kesho Juni 28, 2024. Akitoa uamuzi baada ya upande wa Jamhuri kuomba kufunga ushahidi wake kutoka kwa mashahidi 29 na vielezo 19, Jaji wa Mahakama hiyo, Kelvin Mhina amesema kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa, washtakiwa wanne…

Read More

AIR TANZANIA KUONGEZA SAFARI ZA KIMATAIFA

Katika kutanua wigo wa safari zake za kimataifa, Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) iko kwenye maandalizi ya kuanzisha safari za moja kwa moja kuelekea Muscat nchini Oman. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) Mhandisi Ladislaus Matindi alisema haya baada ya kukutana na Balozi wa Oman nchini Mhe. Saud bin Hilal Alshaidani tarehe 26…

Read More

Wanne wana kesi ya kujibu mauji ya Milembe

Geita. Washtakiwa wanne kati ya watano wanaodaiwa kumuua Milembe Suleman (43), wamekutwa na kesi ya kujibu na wataanza kujitetea kesho Juni 28, 2024. Akitoa uamuzi baada ya upande wa Jamhuri kuomba kufunga ushahidi wake kutoka kwa mashahidi 29 na vielezo 19, Jaji wa Mahakama hiyo, Kelvin Mhina amesema kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa, washtakiwa wanne…

Read More

NCC yaja na mbinu kukabili migogoro sekta ya ujenzi

Dar es Salaam. Ili kuharakisha umalizaji wa migogoro katika sekta ya ujenzi, Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) linaendesha mafunzo ya utatuzi wa migogoro nje ya mahakama kwa wadau mbalimbali wa sekta hiyo. Hatua hiyo inaelezwa itasaidia kupatikana kwa suluhu ya haraka kwa migogoro inayoibuka katika sekta hiyo, hivyo kuchangia kazi za ujenzi ziendelee na…

Read More

Wakazi wa kijiji cha Kondo waonywa kuharibu misitu ya mikoko

Na Upendo Mosha, Bagamoyo WAKAZI wa kijiji Kondo, wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani wameonywa kuacha tabia ya kuharibu Mistu ya mikoko iliyopo pembezoni mwa habari ya Hindi, ili kuthibiti tatizo la kuharibu wa mazingira na mazalia ya samaki. Rai hiyo ilitolewa Jana na Mkurugenzi wa uratibu na ufuatiliaji wa mfuko wa maendeleo ya jamii nchini(TASAF), Haika…

Read More

DC LUDEWA APOKEA MSAADA WA VIFAA TIBA

Na Damian Kunambi, Njombe  Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amepokea msaada wa vifaa tiba mbalimbali vilivyotolewa na kampuni ya Kuambiana Investment ambavyo vimelenga kuhudumka kituo cha afya Kata ya Luilo na Manda ambapo miongoni mwa vifaa hivyo ni magodoro, vitanda, baiskeli za wagonjwa pamoja na mashuka. Akipokea msaada huo Mwanziva amempongea mkurugenzi wa…

Read More