Wizara ya Mambo ya ndani yafanya kikao Maalumu na Viongozi wa Dini kujua namna ya kukabiliana na matukio ya uhalifu

Katika kukabiliana na matukio ya uhalifu yanayotokea katika jamii tunayoishi Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imefanya Kikao Maalumu na Viongozi wa Dini lengo ikiwa kuhusisha kundi hilo katika kudhibiti matukio ya mauaji,mmomonyoko wa maadili,matumizi ya dawa za kulevya na matukio yanayoweza kuvuruga amani ya nchi. Akizungumza katika Kikao hicho kilichofanyika Makao…

Read More

Kapilima mambo magumu KenGold | Mwanaspoti

KOCHA wa KenGold, Omary Kapilima amekiri timu hiyo kupitia kipindi kigumu baada ya kushuhudia ikiondolewa hatua ya 64 Bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho na Mambali FC ya Tabora, ikiwa ni mwendelezo mbovu wa kikosi hicho msimu huu. Timu hiyo ilikumbana na kichapo hicho cha kutolewa kwa penalti 4-3, baada ya sare ya kufungana…

Read More

RC Moro awapa mbinu wakurugenzi kuvutia wawekezaji

Morogoro. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro (RC), Adam Malima amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri kwenye maeneo yanayopakana na vivutio vya utalii kutenga maeneo kwa ajili ya uwekezaji ili kuvutia watalii. Malima ametoa agizo hilo leo Februari 20, 2025 kwenye kikao kilichowakutanisha wawekezaji, Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na viongozi wa Mkoa wa Morogoro kinachoelezea fursa za…

Read More

Yusuph Mhilu bado aiota Ligi Kuu

WINGA wa zamani wa Simba anayekipiga kwa sasa Geita Gold iliyopo Ligi ya Championship, Yusuph Mhilu amesema bado anatamani kucheza Ligi Kuu Bara na anafanya kila kitu kuhakikisha anaboresha kiwango chake na kushawishi timu mbalimbali kumrejesha kwenye michuano hiyo. Mhilu alishuka Geita msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara na hadi sasa akiwa na timu hiyo…

Read More