Wananchi wa Hai, Simanjiro na Arumeru wafunga barabara kwa saa nne

Manyara. Wananchi wa Kata ya Kia (Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro), Kata ya Majengo (wilayani Arumeru, Mkoa wa Arusha), na Kata ya Naisinyai (wilayani Simanjiro, Mkoa wa Manyara) wameandamana kushinikiza Serikali kutatua changamoto zinazowakabili, ikiwemo eneo korofi linalosababisha mafuriko mara kwa mara. Kwa mujibu wa wananchi hao, mafuriko hayo yamesababisha vifo, majeruhi, na uharibifu…

Read More

Heinken yanunua kampuni za Distell na Namibia Breweries

Na Mwandishi wetu, Mtanzania Digital Kampuni ya Heinken imetangaza kununua kampuni ya Distell Group Holdings(‘Distell’) na ile ya Namibia Breweries (NBL) ambapo ununuzi huo unafikia zaidi ya Euro Bilioni 1 katika mapato halisi. Pia, ununuzi huo umefikia Euro milioni 150 katika faida ya uendeshaji wa nyayo zao za Afrika ambapo utachangia kwa kiasi kikubwa ukuaji…

Read More

Pearl of Africa Prince Nyerere, Nasser watua kwa Museven

WATANZANIA Prince Charles Nyerere na Yassin Nasser wanatarajiwa kushiriki katika mbio za magari zitakazofanyika Mbarara, Uganda kusaka ubingwa wa Afrika, ikiwa ni mara ya kwanza kuchezwa  Magharibi mwa Uganda, karibu na eneo ambalo Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museven anatokea. Tayari madereva kutoka Rwanda, Kenya, Ethiopia, Tanzania na wenyeji Uganda wameanza kuwasili mjini Mbarara, kwa…

Read More

MTOTO WA 12 APONA SELIMUNDU ARUHUSIWA KUTOKA BMH

Na Ludovick Eugene Kazoka, Dodoma Mtoto wa kumi na mbili (12) kupona ugonjwa wa selimundu baada ya kupandikizwa uloto katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) ameruhusiwa kutoka leo. Mtoto huyo kwa jina, Caris Anthony, mwenye umri wa miaka 8, amepandikizwa uloto katika Kitengo cha Upandikizaji Uloto BMH tarehe 11/06/2024. Akiongea na Kitengo cha Mawasiliano na…

Read More

Wakili Chadema: Mnyika ameitwa Polisi Kinondoni

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika ametakiwa kuripoti Kituo cha Polisi Oysterbay Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano, Wakili wa chama hicho amethibitisha. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Septemba 12, 2024 Wakili wa Chadema, Hekima Mwasipu amesema kiongozi huyo ameitwa na Ofisa Upelelezi wa Mkoa (RCO) wa kipolisi wa Kinondoni, japo…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Arteta anawamezea mate nyota hawa

LONDON, ENGLAND: Dirisha la usajili limeendelea kunoga Ulaya. Vita ya usajili ni kubwa na kila timu ina rada zake. Arsenal tayari imeshamsajili jumla kipa David Raya baada ya kuidakia kwa mkopo akitokea Brentford. Hata hivyo, kwa sasa Kocha Arteta bado anataka kushusha vyuma vingine ili kuifanya Arsenal kuwa tishio baada ya msimu uliopita kushindwa kubeba…

Read More