AKILI ZA KIJIWENI: Kwa Mzamiru, Mwenda Simba imefanya la maana

WIKI hii Simba ilitangaza kuongeza mikataba ya nyota watatu wazawa wanaokichezea kikosi hicho ambao mikataba yao ya awali ilikuwa imefikia tamati mwishoni mwa msimu wa 2023/2024. Watatu hao ni mshambuliaji Kibu Denis, kiungo mkabaji, Mzamiru Yassin na beki kiraka, Israel Mwenda ambao kila mmoja amesaini mkataba mpya wa kuitumikia Simba kwa miaka miwili zaidi. Suala…

Read More

ATCL sasa kufika mpaka Oman

Katika kutanua wigo wa safari zake za kimataifa, Kampuniya Ndege Tanzania (ATCL) iko kwenye maandalizi yakuanzisha safari za moja kwa moja kuelekea Muscat nchini Oman. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) Mhandisi Ladislaus Matindi alisema haya baada yakukutana na Balozi wa Oman nchini Mhe. Saud bin HilalAlshaidani tarehe 26 Juni 2024 katika Ofisi…

Read More

UKIWA NA NAMBA YA NIDA UNAWEZA KUFUNGUA AKAUNTI YA EQUITY

  SEKTA ya huduma za fedha ni miongoni mwa sekta zinazokua kwakasi hapa nchini, huku ujumishaji wa watu katika huduma hizo muhimu za kiuchumi ukiongezeka. Katika kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali za kuhakikisha Tanzania inaendana na Mapinduzi ya Kiuchumi kwa kuhakikisha wananchi wanajiunga na kutumia mifumo rasmi ya kibenki, Benki ya Equaity imezindua rasmi…

Read More

Chama la Wana lasaka makocha

BAADA ya kubaki Ligi ya Championship na kuachana na kocha wake, Seleman Kitunda mwishoni mwa msimu, Klabu ya Stand United inasaka kocha mkuu mpya na kocha wa makipa ili kuboresha benchi lake la ufundi na kufanya vizuri msimu ujao. Timu hiyo yenye maskani yake mkoani Shinyanga ilinusurika kushuka daraja kutoka Championship baada ya kushinda mchezo…

Read More

SERIKALI KUWEKA MKAZO WA MAENDELEO VIJIJINI KUPITIA TARURA

Na. Catherine Sungura, Dodoma Serikali itaendelea kuweka mkazo wa kipekee katika kusukuma maendeleo vijijini kama njia sahihi ya kuchochoa uchumi jumuishi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo wakati wa kupitisha Mpango wa Maendeleo ya Taifa kwa mwaka 2024/2025 na Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka…

Read More

WADAU TANZANITE WAMPONGEZA SAITOTI – MICHUZI BLOG

Na Mwandishi wetu, Mirerani WADAU wa madini wa mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamempongeza Mkurugenzi wa kampuni ya GEM & Rock Venture, Joel Saitoti kwa kufanya mnada wa madini kwenye eneo hilo hivyo kuwanufaisha kiuchumi. Kampuni ya GEM & Rock imeendesha mnada wa kuuza madini ya Tanzanite kwa wachuuzi wenye leseni kwenye…

Read More

‘Sativa’ apatikana akiwa na majeraha

Dar es Salaam. Mkazi wa Mbezi wilayani Ubungo, Edgar Mwakabela (27) maarufu katika mtandao wa X (zamani Twitter) kwa jina la Sativa anayedaiwa kutoweka Juni 23, 2024 amepatikana mkoani Katavi, akiwa na majeraha sehemu mbalimbali za mwili. Kwa mujibu wa taarifa zilizopo kwenye mitandao ya kijamii, Mwakabela amepatikana leo Alhamisi Juni 27, 2024 akiwa katika…

Read More

DC MGENI APIGA MARUFUKU WENYEVITI WA VITONGOJI NA VIJIJI KUPOKEA WAFUGAJI WAGENI KINYEMELA WILAYA YA SAME.

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewaonya Viongozi wa Serikali za Vijiji kuacha tabia ya kupokea wafugaji wageni kinyemela hasa kipindi cha kiangazi ambao ndiyo chanzo cha kutokea migogoro ya Wakulima na Wafugaji. Ametoa maelekezo hayo Kata ya Saweni akiwa kwenye muendelezo wa ziara zake za kusikiliza na…

Read More

ORYX GAS, VIGOR GROUP WAZINDUA BOHARI YA KUHIFADHI NISHATI YA GESI ZANZIBAR – MWANAHARAKATI MZALENDO

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amezindua  bohari ya kwanza ya kuhifadhi nishati ya gesi ya Oryx huku akizitaka kampuni zingine za gesi kuhakikisha wanaweka mikakati itakayowezesha kupungua kwa bei ya gesi ili waipate kwa gharama nafuu. Akizungumza  mbele ya wananchi wa Zanzibar baada ya kuzindua bohari hiyo ya…

Read More