Gachagua kikaangoni Bunge la Seneti

  Bunge la Seneti nchini Kenya, limeanza kujadili hoja ya kumwondoa madarakani, Naibu Rais wa nchi hiyo, Rigathi Gachagua, leo Jumatano tarehe 16 Oktoba 2024. Mjadala huo wa siku mbili kuanzia leo, unakuja wiki moja baada ya wabunge kupiga kura ya kumwondoa kwenye wadhifa huo Jumanne ya wiki iliyopita, akituhumiwa kwa makosa 11. Bunge hilo…

Read More

KenGold mambo ni moto kambini

WIKI tatu ambazo KenGold imekaa katika mji wa Tukuyu ikijifua kwa ajili ya Ligi Kuu, zimewafanya vijana wa timu hiyo kuwa tayari kuingia uwanjani japokuwa kwa sasa kocha mkuu wa KenGold, Fikiri Elias amesema anatafuta kikosi cha kuanza (First Eleven). Msimu ujao unaoanza Agosti 16 ndio wa kwanza kushiriki Ligi Kuu kwa timu hiyo iliyopanda…

Read More

Watatu ACT Wazalendo wajitosa kupeperusha bendera Moshi Mjini

Moshi. Makada watatu wa Chama cha ACT-Wazalendo, wamechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro, katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu. Makada hao ambao ni Hassan Machaku, Elisha Mangwasi na Hanaf Mwetta wamechukua fomu kwa nyakati tofauti katika ofisi za chama hicho mkoa, zilizopo mtaa wa Kiusa, mjini Moshi, huku wakijipambanua…

Read More

Kamati Kuu Chadema yakutana katikati ya joto la uchaguzi

Dar es Salaam. Kamati Kuu cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imekutana leo katika kipindi ambacho kuna joto la uchaguzi wa viongozi wa kitaifa ndani ya chama hicho, jambo ambalo linaonekana kuwagawa wanachama wake. Kikao hicho cha Kamati Kuu kimefanyika Desemba 14, 2024 jijini Dar es Salaam kikiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe. Ajenda kuu…

Read More

SERIKALI YASHUSHA MAAGIZO KWA WATHIBITI UBORA WA SHULE

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Wilson Mahera,akizungumza wakati akifunga Mafunzo Elekezi ya siku tatu kwa Maofisa Uthibiti ubora wa Wilaya Wateule  yanayofanyika jijini Dodoma. Mkurugenzi wa Uthibiti Ubora wa Shule Ephraim Simbeye,akiipongeza Wizara ya Elimu kwa kuandaa Mafunzo Elekezi ya siku tatu kwa Maofisa Uthibiti ubora wa Wilaya Wateule  yanayofanyika jijini…

Read More

Nangu: Kumkaba Pacome, ufanye kazi muda wote

JKT Tanzania imekwama katika mbio za kusaka tiketi ya michuano ya CAF baada ya kufungwa mabao 2-0 na Yanga katika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), huku beki Wilson Nangu akisema kumkaba Pacome Zouzoua inahitaji umakini mkubwa. Beki huyo chipukizi ameliambia Mwanaspoti kuwa kiungo mshambuliaji huyo wa Yanga ni mchezaji mwenye kasi na akili…

Read More