Dili la Lawi Simba laipa mzuka Copco

WAKATI Simba na Coastal Union zikiendelea kuvutana kuhusu usajili wa beki, Lameck Lawi aliyefanya vizuri msimu uliopita kwenye Ligi Kuu Bara, Klabu ya Copco imejivunia kumzalisha na kumkuza nyota huyo huku akiwapa mzuka wa kuzalisha vijana wengine. Lawi ambaye siku chache zilizopita alitangazwa kusajiliwa na Simba akitokea Coastal Union, ni zao la Copco ya Mwanza…

Read More

Vyakula vyenye virutubisho lishe ndio kila kitu kuukabili udumavu

Iringa. Jamii imeshauriwa kuondoa mitazamo tofauti kuhusu vyakula na mafuta vinavyoongezwa virutubisho ili kuondokana na changamoto za lishe katika mikoa mbalimbali, hasa ya Nyanda za Juu Kusini zenye idadi kubwa ya watoto wenye utapiamlo na udumavu. Ushauri huo umetolewa na Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Hellen Chisanga wakati akizungumza na wanahabari mjini Iringa…

Read More

BoT YATAFITI UANZISHWAJI WA SARAFU ZA KIDIJITALI

  Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma.  Serikali imesema kuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kwa sasa inaendelea na hatua ya utafiti wa uanzishwaji wa matumizi ya Sarafu za Kidijitali za Benki Kuu (Central Bank Digital Currency) hapa nchini. Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), wakati akijibu…

Read More

‘Thank You’ Fountain zinasubiri kocha mpya

WAKATI timu nyingine za Ligi Kuu Bara zikianza heka heka za usajili na kuboresha vikosi vyao kuelekea msimu ujoa, uongozi wa Fountain Gate FC ya Mwanza inasubiri kutambulishwa kwa kocha mpya ambaye ndiye atatoa maoni ya mwisho kwa wachezaji watakaochwa na usajili mpya. Timu hiyo ambayo awali ilijulikana kwa jila la Singida Fountain Gate Juni…

Read More

Sarafu za kidijitali bado yaipasua kichwa Serikali

Dodoma. Wizara ya Fedha imesema Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaendelea kufanya utafiti kuhusu uanzishwaji na matumizi ya sarafu za kidijitali za Benki Kuu (Central Bank Digital Currency).Hayo yamesemwa leo Alhamisi Juni 27, 2024 na Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Kigamboni (CCM), Dk Faustine Ndugulile.Dk Ndugulile amehoji Serikali…

Read More

USAID KIZAZI HODARI KUIMARISHA AFYA WATOTO MAZINGIRA HATARISHI

Mradi wa USAID kizai hodari unalenga kuimarisha afya, ustawi na ulinzi wa watoto yatima, wenye mazingira hatarishi pamoja na vijana wa rika barehe wanaoishi katika jamii zilizoathirika zaidi na maambukizi ya virusi vya ukimwi. Mradi huo unatekelezwa katika mikoa tisa ya Dodoma, Kilimanjaro, Tanga, Singida, Mwanza, Mnyara, Arusha, Mara na Geita Issa Murshid ni Mkurugenzi…

Read More

Sharti la mkataba lamwondoa straika Geita

Geita Gold inaendelea kupoteza wachezaji wake baada ya kushuka daraja, ambapo safari hii ni mshambuliaji wake, Ramadhan Kapera ambaye ameachana na timu hiyo kutokana na sharti la mkataba aliousaini dirisha dogo. Kapera aliyesajiliwa dirisha dogo na timu hiyo akitokea Mbeya Kwanza akiwa na mabao tisa Championship, na kusaini mkataba wa mwaka mmoja ambao ulikuwa na…

Read More

TAIFA GAS WAZINDUA KITUO CHANGANYIKENI, WATU 300 WAPATA MITUNGI

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule akishirikiana na wafanyakazi wa Taifa Gas akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Kituo cha Mauzo kilichopo Changanyikeni jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule akizungumza na wananchi wa Changanyikeni jijini Dar es Salaam walipokusanyika kupata mitungi ya Taifa Gasi. MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Saad…

Read More