Matumaini Kombo kada wa Chadema kuachiwa kwa dhamana leo

Tanga. Leo Alhamisi, Septemba 5, 2024 ni siku nyingine ya matumaini kwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, Kombo Mbwana, anayekabiliwa na kesi ya jinai, kurejea uraiani kwa dhamana. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa na Mahakama ya Wilaya ya Tanga, kuhusiana na maombi ya Jeshi la Polisi kuomba mshtakiwa huyo asipewe dhamana…

Read More

MAENDELEO YA TANZANIA YANATOKANA NA UHUSIANO MZURI WA KIDIPLOMASIA NA KIUCHUMI WA RAIS MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN NA NCHI WAHISANI- MHE.SIMBACHAWENE 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akisisitiza jambo wakati akizungumza na Kamati ya Usalama, Wakuu wa Idara, Wakuu wa Taasisi na Watumishi wa Sekretarieti ya Mkoa wa Mara wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kukagua na kuzindua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani…

Read More

Winga Mtanzania nje wiki moja Thailand

WINGA Mtanzania anayeichezea Hua Hin City FC inayoshiriki Ligi Daraja la Pili Thailand, John Mgong’os amesema atakuwa nje ya uwanja kwa wiki akiuguza jeraha la paja. Nyota huyo alicheza kwa dakika zote 90 dhidi ya Hua Hin Maraleina ambapo timu yake ilifungwa bao 1-0 Septemba 08 ikiwa ni raundi za awali za michuano hiyo maarufu…

Read More

CCM yabariki vigogo Dawasa kuwekwa kando

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeubariki uamuzi wa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso wa kuwasimamisha kazi vigogo wawili wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa). Kimesema Waziri Aweso asingechukua uamuzi huo, chama hicho kingechonganishwa na wananchi kuhusu hali ya upatikanaji wa maji katika maeneo mbalimbali ya Mkoa…

Read More

Mzalishaji pombe bandia aishukuru Mahakama kumtia hatiani

Dar es Salaam. Mfanyabiashara aliyekuwa akimiliki kiwanda bubu cha kutengeneza na kusambaza pombe kali bandia, Frank Donatus Mrema na wenzake wawili aliokuwa amewaajiri katika kiwanda hicho, wamehukumiwa adhabu ya kifungo cha maisha jela, huku mmoja akimwaga shukrani kwa Mungu na Mahakama baada ya kutiwa hatiani. Frank na wenzake hao, Faham Salim Ngoda na Issa Juma…

Read More