JIWE LA SIKU: Kibu na mkataba wa mtego Simba

ZAMANI ilikuwa ngumu kumuona mchezaji kutoka Bongo anakwenda mapumziko nchi kama Marekani, Ufaransa, Dubai na nyingine ila kwa sasa linawezekana kwani Ligi ya Tanzania imeanza kulipa vizuri na wachezaji wanapata mikwanja ya kwenda huko kula bata katika kipindi cha mapumziko kama ilivyo kwa mastaa tofauti ulimwenguni. Unavyosoma hapa, staa wa Simba, Kibu Denis yupo zake…

Read More

Waliohukumiwa kunyongwa kwa kumuua Mawazo waachiwa huru

Geita. Mahakama Kuu Kanda ya Geita imewaachia huru washtakiwa wanne waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la kumuua kwa kukusudia aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo. Hukumu hiyo imetolewa juzi Juni 25, 2024 na Jaji wa Mahakama hiyo, Graffin Mwakapeje baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka kuona hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Washtakiwa…

Read More

RAIS SAMIA ANAGUSWA NA KUJALI MAISHA YA WAFANYAKAZI

   *Amenyanyua kikokotoo, Ndejembi asema huo ni mwanzo tu  Nukuu za Waziri wa Nchi, Ofisi yaWaziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Deogratius Ndejembi-Bungeni   “BajetiKuu ya Serikali ya Mwaka wa fedha 2024/2025 ambayo tunaenda kuipitishainaonyesha ni namna gani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan anaguswa na…

Read More

Kipre Jr wa Azam huyooo USM Alger

BAADA ya kung’ara katika msimu wa pili wa kucheza katika Ligi Kuu Bara akihusika na mabao 18 akiwa na Azam FC, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Kipre Jr hatakuwa sehemu ya kikosi msimu ujao baada ya uongozi wa timu hiyo kumuuza USM Alger kwa dau nono. Kiungo huyo aliyefunga mabao tisa na kuasisti tisa vile…

Read More

RAIS DKT. SAMIA ANAGUSWA NA KUJALI MAISHA YA WAFANYAKAZI

*Amenyanyua kikokotoo, Ndejembi asema huo ni mwanzo tu Nukuu za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Deogratius Ndejembi- Bungeni “Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa fedha 2024/2025 ambayo tunaenda kuipitisha inaonyesha ni namna gani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu…

Read More

Lina PG Tour: Vita ya fimbo yahamia Arusha

WAKALI 38 wanatarajiwa kuchuana katika mashindano maalumu ya kumuenzi Lina Nkya ya Lina PG Tour, kwenye viwanja vya Gymkhana, jijini Arusha, Julai 11 hadi 14, mwaka huu. Mashindano haya yanayoingia raundi ya tatu kati ya tano, yanamuenzi nyota huyo ambaye enzi za uhai wake alifanya kazi kubwa ya kuilea gofu ya wanawake kwa mafanikio hadi…

Read More