Yanga yaipiga bao Simba | Mwanaspoti

WAKATI ikibaki siku mbili kabla ya Yanga na Simba kukutana katika pambano ya Ligi Kuu Bara litakalopigwa Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, rekodi zinawabeba zaidi watetezi hao tofauti na Wekundu wa Msimbazi. Mchezo huu utakaokuwa wa 114, kwa timu hizi kukutana katika Ligi Bara tangu 1965, rekodi zinaonyesha Yanga imekuwa timu tishio kwa…

Read More

Rais Iran afariki kwa ajali ya helkopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo na maofisa wengine wa serikali wamepatikana wakiwa wamefariki katika eneo la ajali ya helikopta baada ya msako wa saa kadhaa katika eneo lenye ukungu la milima kaskazini magharibi mwa nchi hiyo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …(endelea). Vyombo vya habari vya serikali havikutoa…

Read More

ELIMU YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA YA BARRICK,TAIFA GAS NA WADAU WAKE YAWAFIKIA WANANCHI TARIME

Baada ya kupatiwa mafunzo wanufaika wakijaribu jinsi ya kutumia majiko hayo Mnufaika wa msaada wa majiko ya gesi kutoka Taifa Gas,Barrick kupitia kampeni ya kupinga ukatili inayoshirikisha wadau mbalimbali akiwa na uso wa furaha na matumaini mapya baada ya kukabidhiwa majiko ya gesi na kupatiwa elimu ya matumizi yake. Nishati inayotokana na mtungi wa kilo…

Read More

KAMARI HULETA MATATIZO YA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

Na Issa Mwadangala Vijana wa Kijiji cha Masoko Kata ya Mlangali Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe wametakiwa kuacha kucheza au kujiingiza katika uchezaji wa kamari ambao kwa asilimia kubwa unapelekea matatizo ya changamoto ya afya ya akili. Kauli hiyo ilitolewa Januari 27, 2025 na Polisi Kata ya Mlangali Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Robart Kasunga…

Read More

TRA yavuka malengo ukusanyaji kodi robo ya kwanza

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza ongezeko la makusanyo ya kodi kwa asilimia 15 kati ya Julai na Septemba 2024 ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Pamoja na hilo, imewaita wanaofanya biashara vyumbani kujisajili ili walipe kodi kabla hatua hazijaanza kuchukuliwa. Kwa mujibu wa TRA, makusanyo ya Julai hadi Septemba mwaka huu ilikiwa na…

Read More

Umeme wakatika bungeni bajeti ikisomwa

Harare. Kukatika umeme kumewaacha na mshangao wabunge wa Zimbabwe wakati Waziri wa Fedha, Mthuli Ncube, akihitimisha hotuba yake ya bajeti jana Alhamisi Novemba 28, 2024. Viongozi wakuu wa nchi wakiwemo Rais Emerson Mnangagwa na Makamu wa Rais, Constantino Chiwenga walijikuta wakiwa gizani baada ya umeme huo kukatika. Kukatika umeme nchini Zimbabwe, takribani saa 12 kila…

Read More