Malejendi watangaza kurudi mbio za magari

MADEREVA na waongozaji (navigators) wa timu Stado wametangaza kurudi mchezoni baada ya miaka saba ya ukimya na kutojihusha na mchezo huu pendwa. Samir Nahdi Shanto, mmoja wa madereva wa timu hiyo, akiongea na Mwanaspoti kutoka mjini Morogoro, alisema wanarudi tena mchezoni na safari hii wanakuja na mashine ya kisasa iitwao Ford Proto. “Stado Team wote…

Read More

IDD MOSHI: Chama anajua, ila Pacome anajua zaidi

MASHABIKI wa soka nchini kwa sasa wamekuwa na mjadala juu ya uwepo wa viungo washambuliaji, Clatous Chama wa Simba na Pacome Zouzoua wa Yanga. Wapo wanaosema Chama ni mkali zaidi kwa kazi kubwa aliyoifanya akiwa na Simba kwa zaidi ya misimu minne, kulingana na Pacome aliyecheza Ligi Kuu Bara kwa msimu wa kwanza. Kuna kila…

Read More

WANANCHI NYASA WAISHUKURU TANROADS KUANZA MATENGENEZO YA BARABARA YA UNYONI-LIPARAMBA-MKENDA

 Na Mwandishi wetu,Nyasa BAADHI ya wananchi wa vijiji vinavyopitiwa na barabara ya Unyoni –Liparamba  hadi Mkenda mpakani mwa Tanzania na Msumbuji wilaya ya Nyasa ,wameishukuru Serikali kupitia wakala wa barabara Tanzania(TANROADS)kwa kuanza ujenzi  wa barabara hiyo ambayo miundombinu yake imeharibiwa vibaya na mvua za masika. Leonald Kawonga mkazi wa Liparamba amesema,wakati wa masika barabara hiyo …

Read More

Simba mpya hii hapa, mastaa wapya wafichwa Dar

MWANASPOTI linajua Simba imekamilisha usajili wa winga matata Joshua Mutale (22) kutoka Power Dynamos ya Zambia kwa mkataba wa miaka mitatu na tayari imemshusha nchini, huku ikimficha kwenye moja ya hoteli za kifahari jijini Dar es Salaam. Unavyosoma hapa, vigogo wa usajili wa Simba chini ya Cresentius Magori wamemshusha pia kiungo, Debora Fernandes Mavumbo kutoka…

Read More

Gamondi awaita Chama, Dube fasta

KUNA ujumbe ambao Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi ameutuma kwa viongozi na wachezaji bila kujali wale wapya ambao wanatajwa kusajiliwa Prince Dube, kiungo Clatous Chama kila mmoja anatakiwa kufanya hivyo. Ujumbe ambao Gamondi ameutuma kisha fasta mabosi wa Yanga kuufikisha kwa mastaa hao ni kila mchezaji anatakiwa ahakikishe ikifika Julai Mosi awe hapa nchini kuanza…

Read More

Blinken akaribisha hatua za rais wa Kenya kutuliza mvutano – DW – 27.06.2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amezikaribisha juhudi za Rais William Ruto wa Kenya za kutuliza ghasia zilizosababisha vifo na uharibifu wa mali lakini akahimiza kujiuzuia na kufanyika uchunguzi kuhusu madai ya unyanyasaji. Katika mazungumzo, Blinken amemshukuru Ruto kwa kuchukua hatua za kutuliza mivutano na kuahidi kufanya mazungumzi na waandamanaji na asasi…

Read More

Wakulima wa pamba walalamikia mizani kuchakachuliwa

Mwanza. Wakulima wa zao la Pamba mkoani hapa wamelalamikia baadhi ya wanunuzi kuchakachua mizani inayotumika kununulia zao hilo, hali inayowasababishia kupata hasara. Wakizungumza leo Jumatano Juni 26, 2024 na Mwananchi, wakulima hao wamesema kitendo hicho kinawafanya baadhi yao kukata tamaa na kushindwa kuendelea na kilimo hicho. “Mizani inayokuja kupima pamba tunaomba wapimaji wasiwe wanaichezea na…

Read More