Rais Biden akutwa na Uviko-19, ashinikizwa kutogombea

Rais wa Marekani, Joe Biden jana Jumatano Julai 17, 2024 alipimwa na kugundulika na Uviko-19 hivyo kulazimika kukatiza mkutano wa kampeni uliokuwa na lengo la kutafutwa uungwaji mkono kwa wapiga kura wa Latino. Kwa mujibu wa tovuti ya BBC, Biden mwenye umri wa miaka 81 alibainika kuwa na dalili za ugonjwa huo na tayari ameanza matibabu…

Read More

Kobe 116 wa Tanzania waliokamtwa Thailand warudishwa

Dar es Salaam. Zaidi ya watoto mia moja wa kobe, wengi wao wakiwa wamekufa, wamerudishwa Tanzania kutoka Thailand, kama ushahidi katika kesi dhidi ya mtandao wa magendo ya wanyamapori. Hayo yamebainishwa na Shirika la Polisi wa Kimataifa (Interpol) katika taarifa yake iliyotoka leo Ijumaa Januari 24, 2025 nchini Thailand. Kobe hao 116 waligunduliwa wakiwa wamefichwa…

Read More

Mabadiliko ya tabianchi yaacha kilio kwa wakulima wa zabibu

Dodoma. Uzalishaji wa zabibu nchini unatarajiwa kupungua mwaka huu, kutokana athari za mabadiliko ya tabia nchi zilizosababisha msimu mrefu wa mvua. Akizungumza leo Jumamosi, Julai 6, mwaka 2024 na Mwananchi, Mwenyekiti wa Wakulima wa Zabibu mkoani Dodoma, David Mwaka amesema kuwa mvua mwaka huu ilinyesha hadi Aprili, hivyo joto la Mei halikutosheleza zabibu kuzaa vizuri….

Read More

Bomu mkononi – Sehemu ya 18

“Tuna utaratibu wa kubadilishwa mara kwa mara lakini itakapokuwa hivyo nitakujulisha,” mlinzi huyo akaniambia. “Hakuna tatizo,” nikamjibu. Kutoka siku ile nyumba yetu ikawa na mlinzi. Alikuwa anakuja saa kumi na mbnili jioni na kuondoka saa moja asubuhi. Anapokuja ananijulisha na anapoondoka asubuhi pia ananipa taarifa. TWENDE PAMOJA… BAADA ya mlinzi huyo kuanza kazi, siku mbili…

Read More

Siri ya Uhuru wa Tanganyika

Wakati Tanzania Bara ikiadhimisha miaka 63 ya Uhuru, ni wazi kuwa uwezo wa kujenga hoja wa Mwalimu Julius Nyerere ulikuwa kiini cha kufanikisha Uhuru wake kutoka kwa wakoloni wa Kiingereza Desemba 9, 1961. Katika kitabu “Tanganyika’s Independence Struggle” kilichoandikwa na Pius Msekwa, Spika mstaafu wa Bunge la Tanzania na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Msekwa…

Read More

Mtoto adaiwa kujinyonga Arusha kisa kuchelewa shule

Arusha. Mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Olomitu iliyoko Chekereni jijini Arusha, Yusuph Zephania (13) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kuogopa adhabu itakayotolewa kwake baada ya kuchelewa shule. Tukio hilo limetokea jana April 18, 2024 nje ya nyumba katika kamba ya kuanikia nguo iliyokuwa nje. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP…

Read More