NIFFER APANDISHWA KIZIMBANI AKIKABILIWA NA MASHTAKA YA UHAINI

MFANYABIASHARA Jennifer Bilikwija Jovin maarufu kama Niffer, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka ya uhaini na kula njama. Niffer anashtakiwa pamoja na wenzake 21 ambao ni Mwalimu, Lucianus Luchius (28), Paul Malima (28), Augustino Mulwale (30), Mohamed Kondo (30), John Mmena (26), Paul Shirima (23), Ramadhani Ramadhani (21), Levi Mkute…

Read More

Polisi wanawake waitambia Magereza kikapu

Wakati michezo ya majeshi ikiendelea katika viwanja mbalimbali ndani ya Manispaa ya Morogoro, timu ya  Polisi ya wanawake imeibuka na ushindi wa point 61 -58 dhidi ya timu ya wanawake ya Magereza. Mchezo huo umechezwa jioni ya Septemba 7 katika uwanja wa Bwalo la umwema. Akizungumza mara baada ya mchezo huo, kocha wa Polisi, Nasri…

Read More

ADC kupata viongozi wapya leo

Dar es Salaam. Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ali Ahmed akimekipongeza   Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), kwa kuweka utaratibu wa ukomo wa uongozi licha ya uchanga wake. Amesema chama hicho ni kichanga lakini kimezidi kukua, huku kikiwa na wanasiasa wakongwe na wabobezi. Ahmed ametoa pongezi hizo leo Juni 29, 2024 wakati…

Read More