Gachagua amtaka bosi wa Usalama ajiuzulu

Nairobi. Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amemtaka Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa hilo, Noordin Haji ajiuzulu kutokana na kushindwa kumshauri Rais William Ruto vizuri kuhusu sakata la maandamano ya Gen Z. Gachagua amesema kama bosi huyo wa Usalama angemfahamisha vyema Rais Ruto kuhusu ukubwa wa maandamano hayo, maandamano yasingetokea na wala yasingefika huko. “Habari…

Read More

Mbezi Msumi waanza kuchimbiwa visima

Dar es Salaam. Hatimaye wakazi wa Mtaa wa Mbezi Msumi wilayani Ubungo, Dar es Salaam wameanza kuchimbiwa visima vya maji, ili kutatua kero hiyo, wakati wakisubiri mradi mkubwa wa maji wa Sh18 bilioni. Awali, Juni 20, 2024 wakazi wa mtaa huo walipinga uchimbaji wa visima hivyo, baada ya Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Mathew…

Read More

Yanga yaruhusiwa kusajili baada ya kumlipa Kambole

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), limeindolea Klabu ya Yanga zuio la kusajili wachezaji. Yanga ilikumbana na rungu la kufungiwa na FIFA ikikabiliwa na kesi mbili, baada ya kufanya makosa ya kwenye mfumo wa usajili kwa kushindwa kukamilisha taarifa muhimu za mmoja wa wachezaji wake wa zamani kabla ya kuweka sawa na kuondolewa adhabu hiyo. Kesi…

Read More

Mbowe, Semu wachaguliwa kuiongoza TCD

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD). Sambamba na Mbowe, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa kituo hicho. Mbowe anashika nafasi hiyo akimrithi, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba…

Read More

Idara ya Ujasusi yaifelisha serikali ya Kenya – DW – 26.06.2024

Naibu rais wa Kenya Rigathi Gachagua amemtolea wito mkuu wa intelijensia nchini mwake Nurdin Haji ajiuzulu na awajibishwe kutokana na maafa yaliyotokea nchini Kenya yaliyofungamana na maandamano ya kupinga muswada wa fedha wa mwaka 2024. Kulingana na Gachagua idara ya ujasusi nchini Kenya haikumpa rais ushauri muafaka kwamba Wakenya hawakuutaka mswada huo wa fedha. Soma pia: Ruto auondoa…

Read More

LHRC yadai bajeti ya 2024/25 haijagusa maendeleo ya wananchi

Dar es Salaam. Wakati Bunge la Jamhuri ya Muungano likipitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema haijagusa maisha ya wananchi. LHRC imesema bajeti hiyo imejikita zaidi kwenye matumizi ya kawaida kuliko miradi ya maendeleo, huku ikitoa mapendekezo ambayo wanaamini yakifanyiwa…

Read More