Ruto asikia kilio cha Gen Z, aurudisha Muswada bungeni

Nairobi. Baada ya wiki mbili za maandamano na ghasia nchini Kenya, hatimaye Rais wa nchi hiyo, William Ruto ametangaza kuondoa Muswada wa Fedha wa mwaka 2024, akisema licha ya kuwa na nia njema, wananchi wameonyesha kuukataa. Maandamano hayo yalishika kasi jana Jumanne Juni 25, 2024 baada ya waandamanaji kuvamia majengo ya bunge, dakika chache baada…

Read More

Rais Ruto katika wakati mgumu

Nairobi. Siku moja baada ya maandamano, machafuko na umwagaji damu nchini Kenya, Rais William Ruto alihutubia Taifa akitoa ujumbe ulioonyesha hasira na hisia kali kwa maandamano hayo. Ruto aliyechaguliwa mwaka 2022 akiahidi kupunguza ufisadi, kuimarisha uchumi unaoyumba wa nchi na kusaidia maskini, sasa anakabiliwa na upinzani mkubwa ambao haujawahi kutokea dhidi ya muswada wa sheria…

Read More

WAZIRI GWAJIMA ATOA WITO VIONGOZI,WAJUMBE WA NaCoNGO KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA UADILIFU

WAZIRI  wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt Dorothy Gwajima,akizungumza wakati akizindua Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya  Kiserikali (NaCoNGO) lililozinduliwa leo Juni 26,2024 jijini Dodoma. WAZIRI  wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt Dorothy Gwajima,akifafanua jambo wakati akizindua Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya  Kiserikali (NaCoNGO)…

Read More

Hofu, kutojithamini zatajwa wanaofanyiwa ukatili kukaa kimya

Mwanza. Wakati matukio ya ukatili wa kijinsia kwa wasichana na watoto yakishamiri nchini, wadau wa masuala ya jinsia wametaja sababu nne zinazochangia mabinti kutopaza sauti na kuripoti vitendo hivyo katika mamlaka zinazohusika. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni wiki moja tangu Jeshi la Polisi mkoani Mwanza litoe taarifa ya kumshikilia na kumhoji aliyekuwa Mkuu wa Mkoa…

Read More

NEEC YASHAURI MAKUNDI YA KINAMAMA YAJIANDAE KUFANYA BIASHARA NA VIWANDA NA MIRADI YA SERIKALI

Matibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’i Issa akizungungumza na Makundi ya Kinamama, Vijana na Makundi Maalumu hawapo pichani wakati baraza hilo lilipoifikisha program ya Imarisha Uchumi na Mama Samia (IMASA) kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Bw. Patrick Sawala. Matibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi….

Read More

Mfanyabiashara akutwa amefia ndani Arusha

Arusha. Mfanyabiashara, Shangwe Julius (35) amekutwa amekufa ndani ya nyumba yake iliyopo kata ya Olgilai, Wilaya ya Arumeri, mkoani Arusha. Mfanyabiashara huyo wa bidhaa za kilimo amekutwa amekufa ndani ya nyumba yake, huku baadhi ya wakazi wakidai kifo hicho kimesababishwa na matumizi makubwa ya pombe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Justine Masejo amethibitisha…

Read More