Trump aahidi tena kumaliza “mauaji” ya vita vya Ukraine – DW – 17.12.2024

Akizungumza kwa mara ya kwanza na waandishi habari tangu alipochaguliwa kwa mara nyingine kuwa rais wa Marekani, Trump amesema ni lazima mauaji yanayotakana na vita hivyo yakomeshwe, akiahidi kwa mara nyingine kuumaliza mzozo huo atakapoingia madarakani. “Tutazungumza na Rais Putin, na tutazungumza na wawakilishi, Zelensky na wawakilihsi wa Ukraine,” amesema Trump kwenye mkutano huo ba…

Read More

Lema abwaga manyanga Chadema kaskazini

MWENYEKITI anayemaliza muda wake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo ili kulinda maslahi ya chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Lema ametangaza msimamo huo leo Alhamisi kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X, ikiwa ni siku moja tangu Chadema ianze kufanya uchaguzi…

Read More

Polisi, Stein Warriors balaa pale juu

TIMU ya kikapu ya Polisi na Stein Warriors zinaendelea kukabana koo katika nafasi mbili za juu za Ligi ya Kikapu ya Daraja la Kwanza inayoendelea katika Uwanja wa Bandari, Kurasini, Dar es Salaam. Katika msimamo wa ligi unaonyesha Polisi inaongoza katika ligi hiyo ikiwa na pointi 26, huku Stein Warriors ikishika nafasi ya pili kwa…

Read More

Nabi, Senzo waongeza mzuka Yanga

Dar es Salaam. Yanga imepokea salamu za kheri kwenye mchezo wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi kutoka kwa viongozi wao wawili wa zamani kocha Nasreddine Nabi na Mtendaji Mkuu Senzo Mazingisa. Akizungumza akiwa nchini Afrika Kusini Nabi amesema anaamini Yanga itafanya vizuri kwenye mchezo huu wa kwanza wa makundi dhidi…

Read More

IMANI KAJULA; Siku 913 mataji mawili

JANUARI 26, 2022 Simba ilimtangaza Imani Kajula kuwa ofisa mtendaji mkuu (CEO) wa klabu alikichukua nafasi ya Barbara Gonzalez aliyejiuzulu Desemba 10, 2021. Hadi Agosti Mosi, mwaka huu, siku ambayo ataachia ngazi katika nafasi hiyo atakuwa ametimiza siku 913 tangu ashike nafasi iliyoachwa na Barbara, huku akishindwa kufikia mafanikio yaliyofikiwa na mtangulizi wake. Tangu aingie…

Read More

Fei Toto aipa pigo Azam FC

KIKOSI cha Azam kipo Bukoba kwa ajili ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar, lakini kikiwa na pigo baada ya kiungo mshambuliaji nyota, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kutokuwepo kutokana na kuwa majeruhi, huku kocha akidai kuvurugwa kwa kumkosa. Inaelezwa nyota huyo anayeongoza kwa asisti katika ligi akiwa nazo 13 ameshindwa kuambatana na…

Read More

Meridianbet Yaigusa Hospitali ya Palestina Sinza

IKIWA leo hii ni Jumamosi siku ya mwisho ya mwezi Mei, wakali wa ubashiri Meridianbet iliamua kufunga safari hadi hospitali ya Palestina Sinza kwaajili ya kutoa msaada kwa kina mama wanaojifungua. Katika tukio hilo la kugusa maisha, Meridianbet ilitoa pampers za watoto wachanga, mashuka mapya, na sanitizers kwa ajili ya kusaidia mazingira bora ya malezi…

Read More