Tajiri aingilia dili la Mpanzu anayetajwa kutua Simba

RAIS wa Klabu ya AS Vita, Amadou Diaby amekutana na winga wa kikosi hicho, Elie Mpanzu Kibisawala ili kumshawishi aendelee kubaki ndani ya timu hiyo baada ya hivi karibuni kuhusishwa kuhitajika na miamba wa soka nchini, Simba. Winga huyo ni miongoni mwa wachezaji wanaohitajika na Simba katika dirisha hili la usajili ili kuboresha kikosi hicho…

Read More

Majibu ya CCM kwa ACT-Wazalendo kuhusu mikopo ya Serikali

Unguja. Baada ya Chama cha ACT-Wazalendo kusema Serikali imejikita kukopa badala ya kubuni vyanzo vya mapato na hivyo kuliweka Taifa katika hatari ya madeni, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema Serikali inakopa kwa masilahi ya wote na lazima ifanye hivyo ili kutekeleza miradi ya maendeleo. Juni 23, 2024 akihutubia mkutano wa hadhara katika uwanja wa Kwa…

Read More

SHINDANO LA WAVUMBUZI SEKTA YA KILIMO KWA VIJANA LAZINDULIWA ,MSHINDI KUPATIWA MILIONI 28/-

Na Said Mwishehe, Michuzi TV HEIFER International nchini Tanzania imezindua shindano la AYuTe Africa Challenge kwa mwaka 2024 litakalotoa nafasi kwa vijana wavumbuzi kupata ufadhili na utambuzi wa kukuza mawazo na matarajio yao kwenye sekta ya kilimo. Lengo la shindano hilo ni kubadilisha mazingira ya kilimo, kukuza uvumbuzi kutoka kwa vijana wa Kiafrika na kufanya…

Read More

SPORI DOKTA: EURO 2024 Utimamu wa Pepe uwanjani si mchezo

KIVUMBI cha Fainali za Euro 2024 kinaendelea kutimka kule Ujerumani na sasa michuano hiyo ya Mataifa ya Bara Ulaya imemalizika katika hatua ya makundi na inaingia 16 Bora. Hatua hii inayoanza keshokutwa ndiyo yenye msisimko wa kipekee kwani timu zote zimekuwa na historia nzuri katika soka wakiwamo wenyeji Ujerumani, England, Ufaransa, Hispania na Ureno. Katika…

Read More

Mwamnyeto apewa miwili Yanga | Mwanaspoti

NAHODHA wa Yanga, Bakar Mwamnyeto ameongeza mkataba wa miaka miwili ili kukitumikia kikosi hicho, huku klabu hiyo ikitoa Sh300 milioni kama pesa ya usajili huo. Mwamnyeto aliyekitumikia kikosi hicho kwa misimu minne huku mitatu mfululizo ikiwa na mafanikio akiwa kama nahodha akitokea Coastal Union, alikuwa ni miongoni mwa nyota waliomaliza mikataba na kulikuwa na sintofahamu…

Read More