Wakenya kuandamana tena kesho, waliouawa wafikia 13

Nairobi. Waandaaji wa maandamano nchini Kenya wametoa wito wa maandamano mapya ya amani kupinga ongezeko la kodi, huku idadi ya waliofariki dunia kutokana na maandamano ya nchi nzima ikiongezeka hadi 13, ofisa kutoka chama kikuu cha madaktari ameiambia AFP. Maandamano hayo yanayoongozwa na vijana yalianza kwa amani wiki iliyopita, huku maelfu ya watu wakiandamana kote…

Read More

Mastaa wapya Azam waanza kupigishwa tizi

NYOTA wapya wa Azam FC, Yoro Mamadou Diaby kutoka Yeleen Olympique ya Mali, Adam Adam (Mashujaa) na Wacolombia Jhonier Blanco (Aguilas) na Ever Meza kutoka Leonnes wameanza kupigishwa tizi mapema ikiwa ni siku chache tu kabla ya kuripoti kambini Chamazi kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao. Ever Meza Wachezaji hao ambao tayari wamejumuishwa katika…

Read More

Zanzibar yataja faida baada ya kubinafsisha huduma hospitali za umma

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema baada ya kubinafsisha baadhi ya huduma katika hospitali zake, nyingi zimeanza kuimarika ikiwemo upatanikanaji wa dawa kwa asiliamia 90. Huduma nyingine zilizoimarika katika hospitali za umma ni usafiri hospitalini, nidhamu ya kazi imeongezeka, chakula cha wagonjwa kinapatikana kwa wakati na ufuaji wa nguo za wagonjwa na uendeshaji…

Read More

Tajiri aingilia dili la Mpanzu Simba

RAIS wa Klabu ya AS Vita, Amadou Diaby amekutana na winga wa kikosi hicho, Elie Mpanzu Kibisawala ili kumshawishi aendelee kubaki ndani ya timu hiyo baada ya hivi karibuni kuhusishwa kuhitajika na miamba wa soka nchini, Simba. Winga huyo ni miongoni mwa wachezaji wanaohitajika na Simba katika dirisha hili la usajili ili kuboresha kikosi hicho…

Read More

HATUTASITA KUCHUKUA HATUA KWA KIONGOZI ANAYEWANYANYASA WANANCHI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Ofisi ya Rais TAMISEMI haitasita kuchukua hatua kwa kiongozi yeyote anayewanyanyasa wananchi kupitia ukusanyaji wa ushuru wa mazao kwani Serikali imeshakwisha kutoa Miongozo kuhusu ukusanyaji wa ushuru wa mazao. Mhe. Mchengerwa ameyasema hayo wakati akichangia hoja yake bungeni…

Read More

Mawakili wakimbilia mahakamani kumpiga ‘stop’ Ruto

KUNDI la mawakili na wanaharakati wameelekea mahakamani kumzuia Rais wa Kenya, William Ruto kutia saini Muswada wa Fedha wa 2024 na Muswada wa Kibali cha Matumizi ya Fedha wa 2024. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Mawakili saba wakiwemo Ndegwa Njiru, Jackline Mwangi, Lempaa Suyinka na Chama cha Wanasheria wa Mlima Kenya wanataka mahakama itoe…

Read More