Vituo vya msaada kisheria vilivyosaidia jamii kupata haki

Unguja. Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, Ibrahim Mzee Ibrahim amewataka wanajamii kuvitumia vituo vya msaada wa kisheria katika maeneo yao kupunguza gharama na kufuata huduma masafa marefu. Akifungua kongamano la vyuo vikuu kuhusu msaada wa kisheria lililofanyika Tunguu, Zanzibar leo Juni 26, 2024, Jaji Ibrahim amesema lengo la Serikali kuanzisha vituo hivyo ni kuondoa…

Read More

Simba yamfuata beki mpya Yanga

DILI la Simba limebuma baada ya kutaka kumnyampia beki wa FC Lupopo, Chadrack Boka, ambaye hawakujua kama tayari ameshamalizana na Yanga. Boka ni mchezaji wa kwanza kusaini Yanga baada ya uongozi wake kukubali kumuuza mchezaji huyo ambaye alibakiza mkataba wa mwaka mmoja na kikosi hicho. Kupitia Mwanaspoti iliandikwa kuwa, Mkongomani huyo atakwenda kuwa mrithi wa…

Read More

Mwanamke aliyefiwa na mumewe, watoto watatu ajali ya moto Arusha atoka hospitali

Arusha. Hatimaye Jasmine Khatibu na mtoto wake mchanga mwenye umri wa wiki moja, wameruhusiwa kutoka hospitali baada ya kupata nafuu. Jasmine pamoja na mtoto wake mchanga wameruhusiwa kurudi nyumbani kutoka Hospitali ya Rufaa Mount Meru walikokuwa wakipatiwa matibabu baada ya kunusurika katika ajali ya moto iliyotokea Juni 22, 2024 ambayo ilisababisha kifo cha mumewe Zuberi…

Read More

CCM YAWANYOOSHEA VIDOLE VISHOKA WA SIASA..

NA WILIUM PAUL, MOSHI. CHAMA cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro kimewaonya baadhi ya Wanachama wa chama hicho ambao wamegeuka kuwa vishoka wa siasa na kuanza kupita hovyo na kuwafanya viongozi waliopo kushindwa kutimiza wajibu wao kwa mujibu wa Ilani ya Uchaguzi kuacha mara moja. Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa…

Read More

Simba yatua kwa viungo wawili Yanga

BAADA ya mazungumzo ya muda mrefu, Simba Queens inadaiwa kufanikiwa kuwashawishi viungo wawili wa Yanga Princess ambao ni wachezaji muhimu kwenye kikosi hicho, Saiki Atinuke na Precious Christopher ili waitumikie msimu ujao wa Ligi Kuu ya wanawake. Wachezaji hao wamemaliza mikataba na Yanga na timu hiyo haijawaita mezani kuzungumza nao juu ya mikataba mipya, jambo…

Read More

Kenya yafanya tathimini ya hali baada ya Maandamano – DW – 26.06.2024

Duru zinaeleza kwamba maiti zisizopungua 7 zilifikishwa kwenye chumba cha City jijini Nairobi.Kwa mujibu wa maafisa wa chumba hicho cha hifadhi, maiti hizo zilikuwa na majeraha ya risasi na moja ilionesha dalili za kukabwa koo. Kulingana na taratibu,maiti zinazopatikana kwenye mazingira ya vurugu na maandamano sharti zifikishwe kwenye chumba cha maiti cha serikali ili kutambuliwa…

Read More

WAZIRI BASHUNGWA:MAKANDARASI WAZAWA KUPEWA MIRADI HADI YENYE THAMANI YA BILIONI 50

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akifafanua jambo wakati akichangia Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akichangia Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Bungeni jijini Dodoma …………. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali kupitia Wizara ya Fedha imesikia kilio cha Makandarasi…

Read More

Mgomo watikisa mikoa 8, wafanyabiashara wamuita Samia

LICHA ya Rais Samia Suluhu Hassan kuahidi kuwa hadi kufikia tarehe 8 Agosti mwaka huu atakuwa ameinyoosha bandari ya Dar es Salaam na kuweka mazingira rafiki ya biashara, mgomo wa wafanyabiashara umeendelea kupamba moto katika mikoa nane. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mbali na Dar es Salaam ambayo mgomo huo umeingia siku ya tatu leo,…

Read More