Bodi kuikata Yanga faini ya Gamondi

WAKATI maswali yakiibuka juu ya hatma ya kifungo cha aliyekuwa kocha wa Yanga, Miguel Gamondi pamoja na faini aliyotozwa na Bodi ya Ligi Tanzania, ambapo chombo hicho kimetoa ufafanuzi kikisema Yanga ndiyo itakayowajibika kumlipia faini. Gamondi amefungiwa mechi tatu na kutozwa faini Sh2 milioni kwa kosa la kumsukuma na kumuangusha chini kocha wa viungo wa…

Read More

Zenji ni JKU au Zimamoto ligi ikifikia tamati

LIGI Kuu Zanzibar kwa msimu wa 2023-2024 inafikia tamati jioni ya leo wakati zitakapopigwa mechi saba za kukamilisha raundi ya 30, ambapo bingwa mpya wa ligi hiyo anatarajiwa kufahamika rasmi, huku JKU ikijiweka pazuri mbele ya Zimamoto zikiwa timu pekee zenye nafasi ya kubeba taji. Awali, ligi hiyo ilitarajiwa kumalizika Juni 17, lakini kutokana na…

Read More

Ugonjwa wa asubuhi ‘morning sickness’ uko hivi

Katika maisha ya kila siku kwa upande wa kinamama katika huduma za afya ni kawaida kuwahi kukutana na neno la kingereza ‘morning sickness’ kwa Kiswahili ugonjwa wa asubuhi. Ni hali ambayo huwa ni kawaida kuwapata kinamama wajawazito wakati mimba iliyotungwa ikiwa change, yaani kwenye muhula wa kwanza katika wiki ya sita tangu mimba kutungwa. Ugonjwa…

Read More