TETESI ZA USAJILI BONGO: Ibrahim Abraham awindwa Pamba Jiji

BAADA ya kutangaza kuachana na mastaa wao walioipandisha timu hiyo, uongozi wa Pamba Jiji FC unawinda saini ya Ibrahim Abraham. Beki huyo wa kushoto wa Tanzania Prisons ambaye anamudu kucheza nafasi tatu uwanjani yupo kwenye hatua nzuri za kukamilisha dili hilo kwa mkataba wa miaka miwili.Charity James BEKI wa kati, Ismail Mgunda aliyemaliza mkataba na…

Read More

BALOZI MBUNDI AONGOZA KIKAO CHA NDANI CHA MAANDALIZI YA MKUTANO WA MAKATIBU WAKUU WA EAC

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki-anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Balozi Stephen Mbundi ameongoza kikao cha ndani cha maandalizi ya mkutano wa Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kilichofanyika tarehe 25 Juni, 2024 jijini Arusha. Kikao hicho cha ndani pamoja na masuala mengine kimepitia agenda, taarifa na…

Read More

Siri imevuja usajili wa Simba 2024/25, Mutale atua Dar

SIMBA inaendelea kusuka kikosi chake kimyakimya huku ikielezwa kwamba kati ya mastaa 12 wa kigeni waliomaliza na kikosi hicho msimu wa 2023-2024, ni nyota watatu tu wanaobaki kwa ajili ya msimu ujao. “Je wanaokuja wataweza kweli!” Hilo ndilo swali unaloweza kujiuliza kuhusiana na timu hiyo kwa msimu ujao. Katika wachezaji hao watatu wa kigeni wanaobaki…

Read More

Yanga yashusha kiungo kutoka Wakiso Giants

KUNA kifaa kipya kinashushwa na Yanga leo Jumatano kutoka nchini Uganda kwa ajili ya mchakato wa kujiunga na timu hiyo msimu ujao. Huyu si mwingine bali ni Hassan Ssenyonjo. Uamuzi huo ni katika kuimarisha kikosi cha mabingwa wa Ligi Kuu Bara ambao wamepanga kuanza kukutana Julai Mosi, mwaka huu kwa ajili ya kuanza kambi. Kifaa…

Read More

Mambo manne yaliyowakuta Jesca, Egina Afrika Kusini

WIKIENDI iliyopita mabondia Jesca Mfinanga na Egine  Kayange walikuwa na vibarua vya mapambano ya kimataifa nchini Afrika Kusini ambayo yalifanyika katika jiji la Johannesburg. Katika mapambano hayo, Jesca alikuwa na kibarua  cha kuwania mkanda wa Ubingwa wa Afrika ‘ABU’ katika uzani wa fly dhidi ya Simangele Hadebe wa Afrika Kusini, pambano la raundi kumi wakati…

Read More

Wafanyabiashara Mbeya, Mwanza wakomaa na mgomo, Iringa nao walianzisha

Mbeya/Iringa/Mwanza. Wakati wafanyabiashara katika mkoa ya Mbeya na Mwanza wakiendelea na mgomo waliouanza jana, mkoani Iringa nako wamegoma. Mgomo wa wafanyabiashara hao wa maduka jijini Mbeya na Mwanza ulianza jana Juni 25, unalenga kuishinikiza Serikali kuondoa utitiri wa kodi na tozo mbalimbali ambazo si rafiki kwa wafanyabiashara. Leo Jumatano Juni 26, 2024, Mwananchi Digital ambayo…

Read More

MSONDE ATAKA UFUATILIAJI UFUNDISHAJI SOMO LA KINGEREZA

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amewataka wakurugenzi wa Halmashauri nchini kufuatilia kwa karibu maendeleo ya Elimu Msingi hasa ufundishaji wa somo la kingereza ili kuhakikisha wanafunzi wanapata ujuzi na umahiri katika lugha ya kingereza. Dkt. Msonde amesema hayo kwenye kikao kazi cha majumuisho ya ziara ya katika mkoa…

Read More