
KILELE CHA DAMU SALAMA – MICHUZI BLOG
Na Khadija Kalili , Michuzi Tv HOSPITALI ya Rufaa Tumbi Mkoa wa Pwani imekusanya lita 300 za damu katika wiki mbili za maadhimisho ya miaka 20 ya uchangiaji damu duniani ambapo ina kauli mbiu isemayo okoa maisha changia damu. Hayo yamesemwa leo Juni 14 na Kaimu Mganga Mkuu Kuu wa Mkoa wa Pwani Dkt. Erica…