Miundombinu yatajwa kiungo muhimu cha biashara Afrika

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema ili kufika malengo ya ajenda ya 2063 ya nchi wanachama wa Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA), mataifa hayo hayana budi kuboresha miundombinu ya barabara, bandari na viwanja vya ndege kurahisha usafiri na usafirishaji wa biashara. Hemed amesema hayo Juni 25, 2024 alipofungua…

Read More

SMZ kutobinafsisha sekta ya elimu, ZSTC

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema haina mpango wa kubinafsisha sekta ya elimu na Shirika la Biashara la Taifa (ZSTC) kutokana na umuhimu wake na unyeti kwa masilahi ya Taifa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi, Hamza Hassan Juma ametoa kauli hiyo Juni 25,…

Read More

RC Batilda aagiza Halmashauri Lushoto kulipa madeni

Lushoto. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto kulipa deni la zaidi ya Sh700 milioni, linalodaiwa na wafanyakazi, makandarasi na watoa huduma wengine. Amesema deni hilo linaonyeshwa kwenye vitabu vya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Hayo amesema leo Jumanne Juni 25, 2024  wilayani Lushoto…

Read More

Rais Ruto aibua mpya maandamano ya Gen Z

Nairobi. Rais wa Kenya, William Ruto amesema maandamano ya amani ya Generation Z yaliingiliwa na wahalifu, akisisitiza Serikali itazingatia mamlaka yake ya kikatiba ya kulinda Taifa kutokana na vitendo hivyo. Amesema tukio la vurugu katika maandamano ya leo Juni 25, 2024 linatoa somo la namna ya kukabiliana na vitisho vya usalama wa Taifa. “Ninawahakikishia Wakenya…

Read More

Wanafunzi 100 wanolewa programu ya uongozi

Dar es Salaam. Wanafunzi 100 kutoka shule za sekondari nchini, wameanza kunolewa kupitia programu ya uongozi kwa vijana (Beginit), iliyotajwa kuwa chachu ya mabadiliko katika uongozi wa kijamii hapo mbeleni. Wadau wa maendeleo wanaoendesha mradi huo, wamebainisha kuwa wataendelea kushirikiana na Serikali kutoa mafunzo ya uongozi kwa vijana lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wa kutambua…

Read More