Tanzania kusaka Sh261 bilioni kila mwaka nchini Uturuki

Dar es Salaam. Tanzania imeweka lengo la kuvutia mitaji ya Sh261 bilioni kila mwaka kutoka kwa wawekezaji nchini Uturuki kupitia sekta kadhaa za uwekezaji, ikiwamo kilimo. Ili kufikia malengo hayo, Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimeingia mkataba wa makubaliano ya ushirikiano na Kampuni ya Africapital Investiment Holding Limited ambayo itafanya kazi ya kuvutia mitaji na…

Read More

Zawadi za Washindi wa NMB Pesa Zawafikia Mtaani Kwao!

Mwandishi Wetu, Dodoma. WASHINDI wa Kampeni ya Weka, Tumia na Ushinde Kutoka Benki ya NMB, jana walikabidhiwa zawadi huku umati mkubwa wa wakazi wa Dodoma ukishuhudia tukio hilo. Kutolewa kwa zawadi hizo ni hitimisho la Kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyofikia mwisho wake Mei mwaka huu ambapo zawadi mbalimbali zenye thamani ya zaidi ya Sh250…

Read More

Teknolojia ilivyosaidia kuongeza idadi ya faru nchini

Dar es Salaam. Wizara ya Maliasili na Utalii imesema idadi ya faru imeongezeka kutoka 161 mwaka 2019 hadi kufikia 253 mwaka jana kutokana na matumizi ya teknolojia ya ulinzi waliyowekewa iitwayo Transmitters. Hayo yamebainishwa hii leo Jumanne ya Juni 25, 2024 katika warsha iliyoandaliwa na Shirika la Uhifadhi wa Mazingira Duniani (WWF), iliyowakutanisha wataalamu wa…

Read More

GRIDI YA TAIFA KUMALIZA TATIZO LA UMEME RUKWA

-Kituo cha kupoza umeme kujengwa Nkansi-Maeneo 1,500 yaliyofanyiwa mapitio yamekidhi vigezo kulipia 27,000/- Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema changamoto ya umeme katika Mkoa wa Rukwa itamalizika baada ya Mkoa huo kuunganishwa katika Gridi ya Taifa kupitia Mradi wa njia ya kusafirisha Umeme wa Msongo wa Mkubwa wa Kilovolti 400 wa Tanzania –…

Read More

Jeshi la Polisi Mwanza latoa kauli mgomo wa wafanyabishara

Mwanza. Wakati baadhi ya wafanyabiashara jijini Mwanza wakigoma na kufunga maduka, Jeshi la Polisi limewataka walioridhia kufungua maduka na wafanye biashara kwa amani kwa kuwa ulinzi umeimarishwa. Kauli hiyo imetolewa leo Jumanne Juni 25, 2024, na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa baada ya kufanya doria yenye lengo la kuangalia hali ya usalama…

Read More

RUNGU LA DC SAME KUWASHUKIA WAZAZI WANAOTUMIA KESI ZA UKATILI WA KIJINSIA KWA WATOTO KAMA MTAJI KULIPANA FEDHA.

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewaonya baadhi ya wazazi wanaotumia kesi za ukatili wa kijinsia kwa watoto kama mtaji kulipana fedha pindi anapofanyiwa ukatili. Amewataka kuacha mara moja tabia hiyo kwani kufanya hivyo kunapelekea kuathiri saikolojia na afya ya mtoto pamoja na kumfanya ashindwe kutimiza ndoto zake….

Read More

Mgomo wa kufungua maduka wafika Mwanza, Mbeya

Dar/Mikoani. Wakati mgomo wa wafanyabiashara eneo la Kariakoo, Dar es Salaam ukiingia siku ya pili leo, umeungwa mkono na wengine wa mikoa ya Mbeya na Mwanza. Hata hivyo, katika maeneo hayo, baadhi ya wafanyabiashara wamefungua maduka na kuendelea na biashara kama kawaida. Kuendelea kufungwa kwa maduka katika eneo la Kariakoo, mbali ya kuwaathiri wateja, pia…

Read More

EWURA YATOA MAFUNZO YA ELIMU KWA UMMA JUU YA WAJIBU NA MAJUKUMU YA EWURA KWA VIONGOZI NA WADAU KANDA YA KATI 

MENEJA wa Uhusiano na Mawasiliano  Mamlaka  ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Titus Kaguo,akitoa elimu kuhusu  majukumu ya EWURA wakati wa semina kwa Viongozi,Wadau pamoja na wajasiliamali Mkoa wa Dodoma kuhusu Mafunzo ya Elimu kwa Umma Juu ya Wajibu na Majukumu ya EWURA iliyofanyika leo Juni 25,2024 jijini Dodoma na kuandaliwa  na…

Read More

Mgomo kufungua maduka wafika Mwanza, Mbeya

Dar/Mikoani. Wakati mgomo wa wafanyabiashara eneo la Kariakoo, Dar es Salaam ukiingia siku ya pili leo, umeungwa mkono na wengine wa mikoa ya Mbeya na Mwanza. Hata hivyo, katika maeneo hayo, baadhi ya wafanyabiashara wamefungua maduka na kuendelea na biashara kama kawaida. Kuendelea kufungwa kwa maduka katika eneo la Kariakoo, mbali ya kuwaathiri wateja, pia…

Read More