Makinda JKT wamkosha Chabruma | Mwanaspoti

KOCHA wa JKT Queens, Esta Chabruma amesema amekoshwa na viwango vinavyoonyeshwa na wachezaji wachanga akimtaja Christer Basil. Ikumbukwe JKT yenye viongozi wazawa na inaongozwa na benchi la ufundi wazawa na imesajili wachezaji wote wazawa. Utaratibu wa JKT wanasajili mabinti wadogo ambao asilimia kubwa wanawatoa kwenye mashindano ya ligi za mkoa na kisha kuwatengeneza na wakipata…

Read More

Azam FC ubingwa inautaka Bara

KOCHA wa Azam, Rachid Taoussi amesema licha ya kudondosha pointi nyingi duru la kwanza ana nafasi ya kuipambania timu hiyo kutwaa taji msimu huu, huku akidai wazi kuwa ana pointi sita kwa  Simba na Yanga. Azam ipo nafasi ya tatu katika msimamo baada ya kukusanya pointi 36 ikiwa mbele mchezo mmoja dhidi ya Simba (40)…

Read More

NHIF YAINGIA MAKUBALIANO NA ZHSF 

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Bw.Bernard Konga (kulia) na  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),Yaasin Juma,wakisaini (kuhsoto) wakibadilishana  Mkataba wa mashirikiano ya utoaji huduma za Afya kati ya Taasisi hizo mbili ,hafla iliyofanyika leo Juni 28,2024 jijini Dodoma. MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima…

Read More

Changamoto na mchango wa wanawake vijijni katika maendeleo – DW – 15.10.2024

  Wanawake wanaoishi vijijini wamezungumzia changamoto wanazopitia kutokana na mazingira yao, ambazo wameeleza kuwa zinawanyima fursa adhimu za kimaendeleo, kiuongozi, kiuchumi, na kijamii. DW imezungumza na wanawake kutoka maeneo tofauti ya vijijini hapa nchini, na wakaeleza changamoto wanazopitia kutokana na mazingira yao. Aneth Mwinama, Mkazi wa Kijiji cha Chikunja, Wilaya ya Masasi, Mtwara, anasema mifumo…

Read More

Kwa nini G20 lazima iwe katikati ya wanawake, watoto na vijana katika ajenda ya UHC – maswala ya ulimwengu

Rajat Khosla Maoni na Rajat Khosla (Geneva) Ijumaa, Aprili 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari GENEVA, Aprili 25 (IPS) – Kama kikundi cha wafanyikazi wa afya cha G20 kilivyokusanyika katika KwaZulu -Natal chini ya urais wa Afrika Kusini mapema mwaka huu, swali kuu lilifanana na watu wengi: tunawezaje kuharakisha chanjo ya afya ya ulimwengu…

Read More

Simba V Azam FC… utamu upo kati

SIMBA imetamba leo itaendeleza Ubaya Ubwela pale ilipoishia wakati itakapokuwa wenyeji wa Dabi ya Mzizima dhidi ya Azam FC, huku Wanalambalamba wakijibu mapigo kwamba safari hii hawakubali unyonge mbele ya Mnyama. Mechi hii namba 167 ilipangwa kupigwa Uwanja wa KMC Complex, kuanzia saa 10:00 jioni, lakini juzi Bodi ya Ligi (TPLB) ilitoa taarifa ya kuuhamisha…

Read More

Nashon: Dili la Yanga limekwamia hapa!

KIUNGO aliyekuwa anatajwa kujiunga na Yanga na ghafla dili lake kukwama, Kelvin Nashon ametoa sababu za kukwama kuwa ni kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara katika kikosi cha Singida Black Stars, huku akidai kuwa muda mwingine ikitokea nafasi atacheza. Yanga ilituma ofa ya kumtaka Nashon kwa mkopo dilisha hili la usajili na mambo yalikwenda…

Read More

DK NCHIMBI NA MAAGIZO KWA MAWAZIRI HAWA, KIGOMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa maelekezo kwa mawaziri wanne kufuatia maombi ya wananchi wa Mwandiga, mkoani Kigoma kuhusu umeme, usalama wa raia na mali zao, maji na kituo cha afya. Balozi Nchimbi ambaye yuko Kigoma akiendelea na ziara yake ya siku 3 mkoani humo, aliyoanza Agosti 4,…

Read More