Wadau Afrika Mashariki waungana kukabiliana na uvuvi haramu
Dar es Salaam. Wadau kutoka sekta mbalimbali katika ukanda wa Afrika Mashariki wameungana kuanzisha juhudi za pamoja za kukabiliana na uvuvi haramu, ambao unaendelea kuwa tishio kwa rasilimali za bahari, mazingira na maisha ya mamilioni ya watu wanaotegemea uvuvi kwa ajili ya kipato na lishe. Hayo yamebainika katika kongamano la Sauti za Buluu lililofanyika hivi…