TANZANIA NA NORWAY KUIMARISHA USHIRIKIANO

Na Saidina Msangi,WF, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amesema kuwa ushirikiano kati ya Tanzania na Norway umefanikisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kiuchumi na kijamii ikiwemo miradi ya elimu, usambazaji wa umeme vijijini yenye thamani zaidi ya sh. bilioni 188. Dkt. Nchemba alibainisha hayo Jijini Dodoma, alipokutana na kufanya mazungumzo…

Read More

Mhandisi Jafari ajitosa kupambana na Babu Tale

Mhandisi na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jafari Iddy Fadhili Hegga ( pichani kushoto) amechukua na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki. Awali, Mhandisi Jafari alikabidhiwa fomu na katibu wa CCM wilaya comrade Michael Bundala na kufanikiwa kuirudisha. Anatarajiwa kuwa miongoni mwa wagombea wanaowania nafasi hiyo…

Read More

Mdamu aanza matibabu Moi | Mwanaspoti

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Wallace Karia, limetekeleza ahadi liliyoitoa wikiendi iliyopita kwa mshambuliaji wa zamani wa Polisi Tanzania, Gerald Mdamu kumlipia gharama za matibabu, ambapo nyota huyo ni kama ameanza maisha mapya baada ya mateso ya zaidi ya miaka miwili. Julai 9, mwaka 2021, basi la Polisi Tanzania lilipata ajali likitoka…

Read More

Kisa Mzize, maskauti Sweden waivamia dabi

MASKAUTI wawili kutoka Sweden, Jamal Osman na Nahom Tesfaye, wameharakisha safari yao kurejea jijini Dar es Salaam ili kuja kumtazama kwa karibu mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize katika mchezo wa watani wa jadi dhidi ya Simba SC, maarufu kama Dabi ya Kariakoo.  Msimu huu Mzize amekuwa moto wa kuotea mbali, aliwavutia zaidi maskauti hao alipofunga…

Read More

Gamondi, Singida bado kidogo tu

UONGOZI wa Singida Black Stars upo hatua ya mwisho ya kumalizana na aliyekuwa kocha mkuu wa klabu ya Yanga, Miguel Gamondi ili kuchukus mikobs iliyochwa na Patrick Aussems ‘Uchebe’. Uchebe alisimamishwa kazi  kwa kuvunjiwa mkataba na Singida baada ya matokeo mabaya mfululizo akianza na kichapo na Yanga bao 1-0 na sare mfululizo dhidi ya Coastal…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mabeki wa kati ndio silaha yetu Tanzania

KUNA eneo ambalo tumefanikiwa sana kama taifa kuzalisha wachezaji wa kiwango cha juu ambao wamekuwa na manufaa kwa klabu pamoja na timu zetu za taifa. Eneo hilo ni beki wa kati, kiukweli tuna kila sababu ya kujivunia na katika mjadala wa kijiweni wiki hii tumekumbushana nyakati tofauti zinazodhihirisha namna Tanzania tumebarikiwa kuzalisha mabeki wa kati….

Read More