Asia Masimba anayewaongoza wanawake 400 wachimbaji madini

Geita. Ujasiri na uthubutu wa Asia Masimba ni simulizi ya kuvunja miiko iliyodumu kwa miongo kadhaa katika sekta ya madini mkoani Geita. Katika mazingira ambayo wanawake walionekana kuwa mkosi machimboni, Asia alithubutu kuingia duarani, akakubali kutukanwa, kufukuzwa na hata kucharazwa viboko, lakini hakurudi nyuma. Kwa miaka mitano mfululizo alipambana na imani potofu zilizotamalaki katika jamii…

Read More

Ahadi hewa safari za Mwendokasi Mbagala zaibua mjadala

Dar es Salaam. Baada ya huduma ya mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) katika barabara ya Mbagala kukwama kuanza leo kama ilivyoahidiwa awali na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), wachumi na wadau mbalimbali wamejitokeza kutoa malalamiko pamoja na ushauri wa nini kifanyike ili huduma hiyo ianze kutekelezwa. Akieleza sababu ya kushindwa kutimiza ahadi hiyo, alipozungumza na…

Read More

Tahadhari ya Umoja wa Mataifa ya dawa za kulevya inasimamisha usafirishaji ambao ungeweza kutengeneza dozi za fentanyl zenye hatari zaidi ya bilioni 1.6 – Masuala ya Ulimwenguni

Hatua hiyo inaangazia jukumu muhimu la ushirikiano katika kukabiliana na biashara haramu ya dawa za kulevya inayoendelea kwa kasi. Katika yake Ripoti ya Mwaka 2025Bodi ya Kimataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya (INCB) ilisema kuwa mamlaka ilitumia jukwaa lake la arifa ya kabla ya kuuza nje kusitisha upotoshaji wa tani tatu za kitangulizi cha 1-boc-4-piperidone…

Read More