Muasisi wa WikiLeaks hatimae aondoka London alikokuwa jela. – DW – 25.06.2024

Mwasisi wa mtandao wa WikiLeaks, uliotumika  kufichuwa siri kubwa kubwa za serikali za mataifa mbali mbali duniani, Julian Assange hatimae ameachiwa huru kwa dhamana, Jumatatu. Assange aliachiwa huru kwa dhamana kutoka jela yenye ulinzi mkali ya  Kusini Mashariki mwa London jana Jumatatu. Mkewe Stella Assange akionekana kushusha pumzi alisema hivi sasa mumewe ni mtu huru, …

Read More

Waandamanaji Kenya wataka muswada wa fedha wote uondolewe

Nairobi. Wakati Bunge la Kenya limepitisha marekebisho ya muswada wa fedha kwa mwaka 2024, maandamano yameibuka upya, waandamanaji wamevamia eneo la Bunge na kuchoma moto. Maandamano hayo yaliyoanza wiki mbili zilizopita, yalilenga kupinga vifungu vya muswada huo ambao wabunge 195 walipiga kura kupitisha muswada huo, huku 106 wakipiga kura kukataa sheria iliyopendekezwa. Baada ya maandamano…

Read More

FURSA YA ELIMU YA FEDHA YAWAFIKIA WANANCHI SHINYANGA.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Prof. Siza Tumbo, akizungumza na watalamu wa kutoa elimu ya fedha kutoka Wizara ya Fedha, Benki Kuu ya Tanzania (BoT), na watumishi wengine wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, walipofika ofisini kwake kumweleza lengo la ujio wao na maeneo wanayotarajia kutoa elimu ya fedha katika Mkoa huo….

Read More

Ukishangaa ya Bocco, utayaona ya Chama

KATIKA maisha omba sana bahati. Kuna vitu huwezi kuvipata hadi uwe na bahati tu. Wakati mshambuliaji John Bocco akitangazwa Kustaafu soka, Clatous Chota Chama bado anagombewa na Simba na Yanga huku, Saido Ntibanzokinza hakuna anayemtaka. Inafurahisha kuona Bocco anastaafu wakati Chama akigombewa. Inasikitisha kuona mfungaji bora wa Simba kwa msimu wa pili mfululizo, Ntibazonkiza anaachwa…

Read More

UDSM and Oslo University Develop a Solution for Ethical Dilemmas in Healthcare Delivery in Tanzania

By Our Correspondent In Tanzania’s healthcare system, healthcare providers often face numerous ethical challenges when making decisions about treating patients. These challenges, which frequently lead to dilemmas, can sometimes result in patient deaths, particularly when patients refuse treatment. To address this issue, the University of Dar es Salaam, through its Department of Philosophy and Religious…

Read More

UDSM, OSLO vyaja na suluhisho la Mtanziko wa Kimaadili katika utoaji huduma za afya Tanzania

Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital Katika mfumo wa afya wa Tanzania, watoa huduma za afya wanakutana na changamoto nyingi za kimaadili wakati wa kufanya maamuzi ya kutibu wagonjwa. Changamoto hizi, ambazo mara nyingi huleta mitanziko (dilemma), zinaweza kusababisha vifo kwa wagonjwa hasa pale wanapokataa matibabu. Ili kukabiliana na hali hii, Chuo Kikuu cha Dar es…

Read More